>

MWAMBA HUYU ATAMBULISHWA SIMBA

KIUNGO mkabaji Augustine Okejapha ametambulishwa ndani ya kikosi cha Simba kwa ajili ya kupata changamoto mpya kwa msimu ujao unaotarajiwa kuanza Agosti. Nyota huyo ni raia wa Nigeria anatarajiwa kuwa kwenye changamoto mpya kwa msimu wa 2024/25 ndani ya Simba. Julai 5 2024 Simba ilimtambulisha kocha mpya ambaye ni Fadlu Davis ambaye atafanya kazi na…

Read More

KIUNGO WA KAZI NGUMU KUSEPA SIMBA, KOCHA MPYA KAZI IPO

INAELEZWA kuwa kiungo wa kazi ngumu ndani ya Simba Sadio Kanoute huenda akasepa ndani ya kikosi hicho kuelekea msimu wa 2024/25. Kanoute ni mtaalamu kwenye kutembeza mikato ya kimyakimya licha ya sura yake ya upole anatimiza majukumu yake kwa umakini mwanzo mwisho. Inaelezwa kuwa Kanoute raia wa Mali anahitaji kupata changamoto mpya na anahitaji maboresho…

Read More

USHINDI RAHISI WA KASINO CHEZA SASA

Moja kati ya biashara nzuri na yenye mtaji mdogo ni uuzaji wa matunda, huhitaji kuwa na mamilioni ufanye uwekezaji bali unahitaji akili tu ya namna ya kuweka dau lako. Meridianbet Kasino ya Mtandaoni kuna huu mchezo wa Matunda unaitwa Sticky 777. Shinda Mamilioni kwa kujisajili na Meridianbet. Alama kubwa zaidi kwenye sloti hii ya kasino…

Read More

SIMBA YAMTANGAZA FADLU DAVIDS KUWA KOCHA MPYA

Klabu ya Simba Sc imemtangaza Fadlu Davids (43) kuwa kocha wao mkuu klabuni hapo akichukua mikoba ya Abdelhak Benchikha aliyeondoka kabla ya kumalizika kwa msimu uliopita . Msimu uliopita kocha huyo alihudumu kwenye kikosi cha Raja Casablanca kama kocha msaidizi chini ya kocha mkuu Josef Zinnbauer Raia wa Germany,huku wakiisaidia timu hiyo kutwaa ubingwa wa…

Read More