Klabu ya Yanga imethibitisha kumuongezea mkataba mpya beki wa kushoto Nickson Kibabage wa miaka mitatu utakaombakisha klabuni hapo mpaka Juni 2027.
YANGA YATHIBITISHA KUMUONGEZEA MKATABA MPYA NICKSON KIBABAGE
![](https://salehjembe.co.tz/wp-content/uploads/2024/07/445827435_18329912020130284_2134859798130452646_n.jpg)
Klabu ya Yanga imethibitisha kumuongezea mkataba mpya beki wa kushoto Nickson Kibabage wa miaka mitatu utakaombakisha klabuni hapo mpaka Juni 2027.