Skip to content
December 12, 2024
  • MWENDA NI KIJANI NA NJANO
  • SIMBA: KUPOTEZA KIMATAIFA KUSITUTOE KWENYE RELI
  • YANGA YAIVUTIA KASI TP MAZEMBE
  • Как Обеспечиватся Контроль За Честностью Игры? – Азино 777 Зеркало На Сегодня

Saleh Jembe

Official Website

Random News
  • Home
  • FeaturedFeatured posts
  • Sports
  • Home
  • 2024
  • July
  • 3

July 3, 2024

  • Sports

Meridianbet Kasino, Ushindi Kiganjani Mwako na Slot

Saleh5 months ago5 months ago04 mins

Unaijua Kasino? Kuna mchezo unaitwa Super Heli na Aviator inafanya poa sana, lakini nikwambie tu Meridianbet Kasino ya Mtandaoni kuna sloti moja inatema hela kama mashine ya ATM. Jisajili Meridianbet uucheze mchezo huu bila shida yeyote. Jinsi ya Kucheza Sloti ya 81 Vegas Magic. 81 Vegas Magic ni sloti ya kasino ya mtandaoni inayokupa pesa…

Read More
  • Sports

CHAMA AWAPA THANK YOU SIMBA KUPITIA UKURASA WAKE WA INSTA!

Saleh5 months ago01 mins

Kiungo mpya wa ‘Wananchi’ Yanga SC, Mwamba wa Lusaka Clatous Chota Chama kawaaga rasmi ‘Wekundu wa Msimbazi’ Simba SC, kupitia ukurasa wake wa kijamii wa Instagram. Chama kaandika hivi: “Miaka sita iliyopita nilikuja kama mgeni. Mlinipa malengo na changamoto za kuwa bora zaidi. Sina la ziada zaidi ya heshima kwa kila mmoja wenu kwa upendo…

Read More
  • Sports

RHULAN MOKWENA MAISHA YAKE NDANI YA KIKOSI CHA MAMELODI SUNDOWNS YAMEFIKIA TAMATI

Saleh5 months ago02 mins

Rhulan Mokwena Maisha yake ndani ya Kikosi Cha Mamelodi Sundowns yamefikia tamati baada ya mabosi wa timu hii tajiri hapa Afrika kuamua kuachana naye wakati huu wapo Kwenye mazungumzo ya kusitisha mkataba wake. Ugomvi mkubwa wa Rhulan Mokwena na Viongozi wa Mamelodi ni Staili yao ya uchezaji …. Fleming Berg ambaye ni Sporting Director wa…

Read More
  • Sports

BRAZIL YAFUZU HATUA YA ROBO FAINALI YA KOMBE LA MATAIFA YA AMERIKA KUSINI

Saleh5 months ago5 months ago01 mins

Timu ya taifa ya Brazil imefuzu hatua ya robo fainali ya kombe la Mataifa ya Amerika Kusini licha ya kumaliza hatua ya makundi kwa sare ya 1-1 dhidi ya Colombia katika uwanja wa Levi huko Santa Clara, California Marekani. Brazil imemaliza nafasi ya pili kwenye Kundi D alama 5 baada ya mechi tatu alama mbili…

Read More
  • Sports

Djigui Diarra Aongeza ya mkataba mpya wa miaka miwili Yanga

Saleh5 months ago5 months ago01 mins

Klabu ya Yanga Sc imethibitisha kuwa golikipa Djigui Diarra amesaini nyongeza ya mkataba mpya wa miaka miwili utakaombakisha klabuni hapo mpaka 2026.

Read More
Newsmatic - News WordPress Theme 2024. Powered By BlazeThemes.