Ureno imeifuata Ufaransa kwenye hatua ya robo fainali ya EURO 2024 kufuatia ushindi wa penalti 3-0 dhidi ya Slovenia kwenye hatua ya 16 bora.
FT: Portugal 0-0 Slovenia (ET 0-0) (P 3-0)
Timu ya taifa ya Ufaransa imetinga hatua ya robo fainali ya kombe la Mataifa Ulaya EURO 2024 baada ya kuiondosha Ubelgiji kwa ushindi wa 1-0 katika dimba la Merkur Spiel-Arena (Düsseldorf).
FT: Ufaransa 1-0 Ubelgiji
⚽ Vertonghen (og) 85’