Skip to content
December 13, 2024
  • PROF. JANABI ASISITIZA JAMII KUJIKINGA NA MAGONJWA YASIYOAMBUKIZA
  • ALHAMISI NI KWAAJILI YA EUROPA LEAGUE
  • UHISPANIA, URENO NA MOROCCO WATHIBITISHWA KUWA WENYEJI KOMBE LA DUNIA 2030
  • MWENDA ACHEKELEA KUWA NDANI YA YANGA

Saleh Jembe

Official Website

Random News
  • Home
  • FeaturedFeatured posts
  • Sports
  • Home
  • 2024
  • July
  • 1

July 1, 2024

  • Sports

UHISPANIA YATINGA HATUA YA ROBO FAINALI YA KOMBE LA MATAIFA ULAYA EURO 2024

Saleh5 months ago5 months ago01 mins

Uhispania imetinga hatua ya robo fainali ya kombe la Mataifa Ulaya EURO 2024 kufuatia ushindi wa 4-1 dhidi ya Georgia katika mchezo wa hatua ya 16 bora. Spain itachuana na Germany kwenye robo fainali itakayochezwa Julai 5, 2024 katika dimba la MHPArena (Stuttgart). FT: Uhispania  4-1  Georgia ⚽ Rodri 39’ ⚽ Ruiz 51’ ⚽ Williams…

Read More
  • Sports

ALIYEKUWA KOCHA WA SIMBA ABDELHAK BENCHIKHA ATEULIWA KUWA KOCHA MKUU WA KLABU YA JS KABYLIE

Saleh5 months ago5 months ago01 mins

Aliyekuwa kocha wa Simba Sc, Abdelhak Benchikha ameteuliwa kuwa kocha mkuu wa klabu ya JS Kabylie ya Algeria kwa mkataba wa mwaka mmoja. Benchikha (60) raia wa Algeria alikuwa kocha wa Simba Sc kati ya Novemba 2023 mpaka Aprili 2024.

Read More
  • Sports

YANGA YATANGAZA KUMSAJILI KIUNGO MSHAMBULIAJI, CHAMA AKITOKEA SIMBA

Saleh5 months ago01 mins

Klabu ya Yanga imetangaza kumsajili Kiungo Mshambulia, Clatous Chota Chama raia wa Zambia akitokea Klabu ya Simba Chama anajiunga na Yanga akiwa Mchezaji Huru baada ya kumaliza mkataba wa kuitumikia Simba ambayo ameitumikia katika vipindi viwili tofauti

Read More
Newsmatic - News WordPress Theme 2024. Powered By BlazeThemes.