>

CHEZA SHINDANO LA EXPANSE TOURNAMENT NA USHINDE MAOKOTO MERIDIANBET KASINO

Umetembelea Meridianbet Kasino ya Mtandaoni leo? Nakushauri tu ufanye kuingia kwani utafurahi mwenyewe na moyo wako, Promosheni ya Shindano la Expanse bado linaendelea huenda leo ni nafasi yako ya kushinda. Jisajili hapa ushinde bonasi za kasino kibao. Promosheni hii ya Expanse Tournament inatoa mgao wa mamilioni ya kutosha, kuna bonasi za kasino, mizunguko ya bure…

Read More

MWAMBA MZAMIRU KIMEELEWEKA

INAELEZWA kuwa kiungo wa kazi ndani ya kikosi cha Simba kinachonolewa na Kocha Mkuu, Juma Mgunda kimeeleweka baada ya kufikia makubaliano ya kuongeza mkataba wa miaka miwili. Habari zinaeleza kuwa uongozi wa Simba umeamua kufanya naye mazungumzo mapema kabla mambo hayajawa mengi kwa kuwa kuna timu ambazo zinahitaji saini ya kiungo huyo. Mzamiru ni chaguo…

Read More

AZIZ AFUNGUKIA ISHU YAKE KUSEPA YANGA

KIUNGO mshambuliaji wa Yanga, Aziz KI ameweka wazi kuwa kuna ofa nyingi ambazo zipo mezaniki lakini kipaumbele chake cha kwanza ni timu anayoicheza kwa wakati huu. Ipo wazi kwamba nyota huyo mkataba wake unagota mwisho mwishoni mwa msimu wa 2023/24 ambapo inatajwa kwamba miongoni mwa timu ambazo zinahitaji saini yake ni pamoja na Simba. Mbali…

Read More

FUNGA KAZI 2023/24 RATIBA HII HAPA

LIGI Kuu Tanzania Bara mzunguko wa pili wa funga kazi unatarajiwa kuwa Mei 28 2024 kwa kila timu kusaka pointi tatu muhimu ndani ya uwanja. Ipo wazi bingwa ni Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Miguel Gamondi hesabu ni kwenye tuzo ya kiatu bora na nani atamaliza nafasi ya pili msimu wa 2023/24. Mechi za mwisho…

Read More