>

HII HAPA MITAMBO YA MABAO TATU BORA

MSIMU wa 2023/24 unakwenda kugota mwisho kwa kila timu kupambania malengo yake licha ya kwamba tayari bingwa ameshapatikana ambaye ni Yanga chini ya Kocha Mkuu, Miguel Gamondi. Ndani ya tatu bora tayari bingwa ashajulikana ambaye ni Yanga alifanikisha malengo hayo baada ya kucheza mechi 27 akifikisha pointi 71 ambazo hazitafikiwa na timu yoyote ile kwa…

Read More

SHINDA MAMILIONI YA MERIDIANBET UNAPOCHEZA EXPANSE TOURNAMENT KASINO

Expanse Tournament kasino moja ya promosheni ya Meridianbet inayoendelea kufanya vizuri mjini, inatoa zawadi kibao kama bonasi za kasino, mizunguko ya bure, na milioni mbili na nusu zinashindaniwa kwa kucheza michezo ya kasino iliyotengenezwa na Expanse ambayo ipo ndani ya Meridianbet kasino ya mtandaoni. Jisajili hapa kuingia kwenye kinyang’anyiro cha ushindi. Katika promosheni hii unapokuwa…

Read More

YANGA YAJA NA GAMONDI DAY

MABINGWA wa Ligi Kuu Bara Yanga chini ya Kocha Mkuu, Miguel Gamondi wameamua kuja na Gamondi Day kwenye mchezo wao wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Dodoma Jiji. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Jamhuri, Dodoma ikiwa ni mzunguko wa pili unatarajiwa kuchezwa Mei 22. Ipo wazi kwamba Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Miguel Gamondi…

Read More

MMNYAMA NA BALAA LAKE MBELE YA DODOMA

MNYAMA Simba ameandika rekodi yake kwa kupata ushindi dakika zote 720 walipokutana na Dodoma Jiji katika mechi za ligi. Tangu mwaka 2021 Klabu ya Dodoma Jiji haijapata ushindi mbele ya Mnyama Simba katika mechi za Ligi Kuu Bara kwenye jumla ya mechi 8 zote ilikuwa ushindi kwa Simba. Ikumbukwe kwamba mchezo uliopita dhidi ya Dodoma…

Read More