>

MERIDIANBET TOBOA KIBINGWA UKIWEKA PESA NA AIRTEL MONEY

Mabingwa hawasauliki ndani ya meridianbet hasa ukiwa na Airtel Money, kwa kuthamini wateja wetu wa airtel tumewaletea promosheni itakayowapa nafasi ya kutoboa kibingwa kwenye kila muamala watakofanya kupitia airtel Money. Meridianbet tunasema ukitaka tobo basi bashiri nasi utoboe kibingwa. Ni siku tisini za kutoboa kibingwa na meridianbet hasa ukitumia airtel money, kuanzia leo hii ya…

Read More

ARSENAL YAREJEA KILELENI MWA MSIMAMO WA LIGI

Mbio za ubingwa wa Ligi Kuu England zimechukua sura mpya baada ya Washika Mitutu, Arsenal kurejea kileleni mwa msimamo wa Ligi kufuatia ushindi mwembamba wa 1-0 dhidi ya Mashetani Wekundu katika dimba la Old Trafford. FT: Man United 0-1 Arsenal ⚽ Trossard 21’ MSIMAMO πŸ”2️⃣ πŸ₯‡ Arsenalβ€” mechi 37 β€” pointi 86 πŸ₯ˆ Man City…

Read More

SHINDANO LA EXPANSE KASINO USHINDI HADI MIL 400/= TZS

Promosheni ya kuvuna mahela ya Meridianbet bado inaendelea kusaka washindi, Tsh 400,000,000/= zinakusubiri wewe, huenda unajichelewesha mwenyewe kuwa tajiri. Jisajili Meridianbet kisha shiriki kwenye shindano la kutafuta washindi kupitia michezo ya kasino ya mtandaoni kutoka kwa mtoa huduma Expanse. Wakati unaposhiriki shindano hili hakikisha tu unakuwa umejiandaa kutwaa ubingwa, mafanikio huanza na nia, katika safari…

Read More

MTIBWA SUGAR KUIKABILI YANGA

MTIBWA Sugar inayonolewa na Kocha Mkuu,Zuber Katwila ina kazi ya kusaka ushindi kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Yanga. Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Miguel Gamondi ikiwa itapata ushindi kwenye mchezo wa leo itafikisha pointi 71 ikizidi kuwa namba moja na kufikia pointi zitakazowapa ubingwa. Itakuwa ni ubingwa wa 30 kwa Yanga ndani…

Read More