>

SIMBA YATAJA KILICHOWAPONZA KAITABA

JUMA Mgunda, Kocha Mkuu wa Simba ameweka wazi kuwa walikuwa na nafasi kubwa ya kupata matokeo kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Kagera Sugar nafasi hawakuzitumia. Ubao wa Uwanja wa Kaitaba umesoma Kagera Sugar 1-1 Simba baada ya dakika 90 ambapo Simba walianza kufunga kwenye mchezo wa leo. Ladack Chasambi alifungua akaunti ya…

Read More

SHINSA TSH MIL 400/= CHEZA EXPANSE KASINO NA MERIDIANBET

Shindano la Expanse ndani ya  Meridianbet Kasino linaelekea kupata washindi, cheza michezo ya Expanse kujiweka  kwenye nafasi ya kushinda bonasi za kasino, mizunguko ya bure na kitita cha TZS 400,000,000 Jisajili Meridianbet kushiriki Promosheni hii. Mtoa huduma wa michezo ya kasino ya mtandaoni Expanse Studio anashirikiana na Meridianbet kuwaletea shindano kubwa la zawadi, mgao wa…

Read More

MUDA ANA BALAA KUMBE ALIPISHANA NA SIMBA

MWAMBA Mudathir Yahya ndani ya Ligi Kuu Bara ana balaa zito kutokana na kazi anayofanya katika kutimiza majukumu yake akishirikiana na wachezaji wengine. Alipokuwa huru alikuwa akitajwa kuhitajika ndani ya kikosi cha Simba baada ya kuachana na mabosi wake Azam FC ambao walieleza kuwa walifikia hatua ya kuachana na nyota huyo kwa kuwa hakuwa tayari…

Read More