>

AL AHLY WAMEACHA BALAA SIMBA, TAMKO LATOLEWA

WAARABU wa Misri, Al Ahly wameacha balaa zito ndani ya Simba kutokana na kuwaduwaza Uwanja wa Mkapa wakisepa na ushindi kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika hatua ya robo fainali. Kazi kubwa kwa Simba ni kupambana kusaka ushindi kwenye mchezo wa mkondo wa pili unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Taifa wa Cairo Aprili 5 2024….

Read More