>

TAIFA STARS SAFARINI KUELEKEA AZERBAIJAN

BAADA ya Hemed Morocco kutangaza orodha ya wachezaji watakaokuwa katika timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, safari imeanza kwa ajili ya kuelekea Azerbaijan ambapo wanatarajiwa kucheza mechi mbili za kirafiki. Tayari kikosi cha Taifa Stars kimewasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Istanbul, Uturuki muda wowote kitakwe pipa kuelekea Baku, Azerbaijan kwenye mashindano ya FIFA…

Read More

GAMONDI ASEPA NA TUZO YAKE KUTOKA NBC

WASHINDI wa tuzo ndani ya Ligi Kuu Bara inayodhaminiwa na Beki ya Taifa NBC kwa Februari wamekabidhiwa tuzo zao huku makubwa yakiahidiwa. Yote hayo yalifanyika Machi 17 2024 ambapo NBC ilikabidhi zawadi ya pesa na tuzo kwa kocha bora wa ligi hiyo wa mwezi Februari. Ni Miguel Gamond kutoka Klabu ya Yanga alitwaa tuzo ya…

Read More

GAMONDI AWAANDALIA DOZI WAPINZANI WA CAF

MSIMU MPYA MAMBO MAPYA! Gazeti lako bora la Championi linalotoka mtaani mara mbili kwa wiki, Jumatatu na Ijumaa, sasa limekuja kivingine. Tunatoa zawadi kwako ewe msomaji ambapo kwa kununua GAZETI LA CHAMPIONI, utapata fursa ya kuzawadiwa jezi mpya ya Simba au Yanga za msimu wa 2023/2024, pindi ununuapo gazeti letu kupitia Global App. Soma Gazeti…

Read More