>

SIMBA 2-0 MASHUJAA

FT: LIGI Kuu Bara Simba 1-0 Mashujaa Clatous Chama goal dk 56, 72. Azam Complex Mchezo wa mzunguko wa pili Machi 15 2024 Uwanja wa Azam Complex wanaume 22 wanavuja jasho kusaka pointi tatu. Ushindi wa mabao mawili unawapa pointi tatu mazima Simba wakiwa nyumbani. Simba inawakaribisha Mashujaa kutoka Kigoma mwisho wa reli kwenye msako…

Read More

MAMELOD WANATAMBUA BALAA LA YANGA KIMATAIFA

WAPINZANI wa Yanga kwenye hatua ya robo fainali, Mamelod Sundowns wamebainisha kwamba wanatambua uimara wa Yanga katika Ligi ya Mabingwa Afrika jambo ambalo linawafanya wajiandae kwa umakini. Yanga chini ya Kocha Mkuu, Miguel Gamondi ina kazi ya kusaka ushindi dhidi ya Mamelod kwenye mchezo wa hatua ya robo fainali Ligi ya Mabingwa Afrika ikiwa ni…

Read More

GAMONDI NA MTEGO WAKE KWA MZIZIMA DABI

MIGUEL Gamondi alianza na kiungo Mudathir Yahya kwenye benchi wakati ubao wa Uwanja wa Azam Complex ukisoma Yanga 1-0 Geita Gold. Mchezo huo ulichezwa Uwanja Azam Complex kulikuwa na mabadiliko katika kikosi cha kwanza ikiwa ni maalumu kwa ajili ya kuwapa muda wachezaji wengine ambao hawakupata nafasi kucheza mechi zilizopita. Mtego kwa Azam FC ambao…

Read More

UKUTA WA SIMBA NGOMA NI NZITO

BAADA ya kucheza mechi 18 za Ligi Kuu Bara na kuruhusu mabao 18 benchi la ufundi la Simba limebainisha kuwa watafanyia kazi makosa yanayotokea kwenye mechi zao katika uwanja wa mazoezi. Ngoma ni nzito kwa ukuta wa Simba katika kutoruhusu mabao ya kufungwa kwenye mechi za ligi ambapo kwenye mechi tatu mfululizo imeshuhudia ikifungwa jumla…

Read More