>

KIKOSI CHA SIMBA DHIDI YA COASTAL UNION, MANULA OUT

KUUMIA kwa Henock Inonga mwamba Che Malone anarejea kikosi cha kwanza dhidi ya Wagosi wa Kaya, Coastal Union , Uwanja wa Mkwakwani, Tanga. Mbali na Che Malone pia Aishi Manula kipa namba moja wa Simba hayupo kwenye mpango kazi wa leo ambapo benchi yupo Ally Salim. Shomari Kapombe, Zimbwe, Kennedy Juma na Ayoub Lakred watakuwa…

Read More

MKALI WA MABAO AMEREJEA SIMBA

AMEREJEA ndani ya uwanja mkali wa mabao ndani ya kikosi cha Simba baada ya kuwa nje ya uwanja kwa muda kutokana na kutokuwa fiti. Ni Willy Onana ambaye anaitwa mali ameanza mazoezi na wachezaji wenzake kwa ajili ya kuendeleza ushindani na wachezaji wengine

Read More

FEISAL SALUM ANA BALAA HUYO

KIUNGO wa Azam FC, Feisal Salum ana balaa huyo ndani ya uwanja kutokana na kasi yake kwenye kutimiza majukumu yake akiwa kwenye viunga vya Azam Complex msimu wa 2023/24 akiwa ni mzawa namba moja kwenye upande wa utupiaji mabao akiwa nayo 12 anafuatiwa na Aziz KI mwenye mabao 11 yupo zake ndani ya Yanga.

Read More

SIMBA WAIPIGIA HESABU COASTAL UNION

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa hesabu kubwa kwasasa ni kupata pointi tatu mbele ya Coastal Union wakiwa ugenini kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara baada ya kupoteza mchezo uliopita Uwanja wa Jamhuri, Morogoro dhidi ya Tanzania Prisons. Ipo wazi kwamba mchezo wa kwanza kwa Simba kupoteza ilikuwa dhidi ya Yanga, Novemba 5 2023 ubao…

Read More