>

NO PACOME NO PROBLEM, 10 SIMBA WAACHWA

UNAWEZA kusema hivyo No Pacome No Problem kwa mabingwa watetezi Yanga kusepa na pointi tatu mazima mbele ya Namungo kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara. Baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Majaliwa umesoma Namungo 1-3 Yanga ambapo katika dakika 45 za mwanzo hakuna timu iliyoruhusu bao kuokotwa kwenye nyavu zake. Kipindi cha pili…

Read More

GAMONDI AZIPIGIA HESABU POINTI TATU ZA NAMUNGO

MIGUEL Gamondi, Kocha Mkuu wa Yanga ameweka wazi kuwa wanahitaji pointi tatu kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Namungo unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Majaliwa, Machi 8 2024. Yanga itamkosa Pacome, Djigui Diarra ambaye ni kipa namba moja kwenye mchezo wa leo  kwa kuwa hawapo kwenye mpango wa kikosi hicho kilichopo Lindi. Baaada ya…

Read More