>

BOSI WA REAL MADRID MATATANI KISA KODI

Meneja wa klabu ya Real Madrid Carlo Ancelotti (64) anakabiliwa na kifungo cha takribani miaka mitano jela baada ya kutuhumiwa kwa makosa ya ulaghai wa kodi nchini Hispania. Waendesha Mashtaka wa Serikali wamemtuhumu Kocha huyo mwenye asili ya Italia kwa kutumia mfumo wenye kuchanganya chini ya Makampuni ya shell ili kuficha sehemu kadhaa za mapato…

Read More

KOCHA SIMBA AMESEPA

KOCHA Mkuu wa Simba, Abdelhak Benchikha anatarajiwa kuondoka leo Machi 7 kwa ajili ya kuelekea nchini Algeria atakuwa huko kwa muda wa siku tano. Machi 6 Benchikha alishuhudia kikosi cha Simba kikipigishwa kwata na Tanzania Prisons kwenye mchezo wa ligi uliochezwa Uwanja wa Jamhuri, Morogoro. Ahmed Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba…

Read More

EUROPA KUTIMUA VUMBI LEO, PIGA PESA HAPA

Mpenzi mteja wa meridianbet hivi unajua kuwa leo hii ndio siku yako ya kupiga mapene ukibashiri na meridianbet kwani kila kitu kipo tayari kazi inabaki kwako tuu. Machaguo zaidi ya 1000, Turbo Cash. Beti sasa. Nyasi zitawaka hapa katika mechi ya Bayer Leverkusen ambao watakuwa ugenini dhidi ya Qarabag FK ambaye kushinda mechi hii amepewa…

Read More

AZAM FC WAPINDUA MEZA KIBABE

AZAM FC wamepindua meza kibabe baada ya kuambulia pointi moja mbele ya Coastal Union katika mchezo uliochezwa Uwanja wa Azam Complex. Baada ya dakika 90 ubao umesoma Azam FC 1-1 Coastal Union kwa wababe hao kugawana pointi mojamoja ambapo katika mzunguko wa kwanza Azam FC walivuna pointi tatu. Bao la Coastal Union lilifungwa na Semfuko…

Read More