>

JIBWEDE NA MKWANJA WA MECHI ZA EUROPA LEO

Mambo vipi mteja wa meridianbet? Je unajua kuwa hapa ndio sehemu sahihi za wewe kusuka jamvi lako na kuanza kubashiri mechi zako kwa ODDS KUBWA na machaguo mengi zaidi?. Leo AC Milan, AS Roma, Benfica wote hao na wengine uwanjani unakosaje pesa sasa? Tukianza na mechi ya Benfica Lisbon dhidi ya Toulouse FC, kwanza mechi…

Read More

MAOKOTO NJE NJE LEO KUPITIA UEFA CONFERENCE LEAGUE

Utaratibu wa kuhakikisha wateja wa Meridianbet wanapiga mkwanja utaendelea leo ambapo michezo mbalimbali ya Uefa Conference itaendelea, Huku michezo hiyo ikipewa ODDS KUBWA ili kumuwezesha mteja kupiga mkwanja. Michezo ambayo itapigwa leo katika viwanja mbalimbali itakua imepewa ODDS nzuri kwenye tovuti ya Meridianbet, Hivo ni nafasi kwa mteja kuweza kujipigia maokoto kupitia michezo itakayopigwa leo….

Read More

AZAM FC YAZITAKA POINTI TATU ZA GEITA GOLD

MATAJIRI wa Dar Azam FC wanazipigia hesabu pointi tatu za Geita Gold kuelekea mchezo wao ujao wa Ligi Kuu Bara. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Februari 16 Uwanja wa Azam Complex. Yusuph Dabo, Kocha Mkuu wa Azam FC mchezo wake uliopita ilikuwa ni kiporo ambapo waligawana pointi mojamoja na Simba. Katika mchezo huo baada ya dakika…

Read More