Title:PIGA MKWANJA WA KUTOSHA LEO KUPITIA UEFA

Wewe mwana Meridianbet leo unaweza kuifanya sikukuu yako ya wapendanao kua ya kipekee pale tu ambapo utaweka mkwanja na kubashiri michezo ya ligi ya mabingwa ulaya ambayo itakwenda kupigwa usiku wa leo. Leo kutakua na michezo mikali kwenye ligi ya mabingwa ulaya ambapo klabu ya Lazio itakua nyumbani kuwakaribisha miamba ya soka kutoka nchini Ujerumani…

Read More

SIMBA YATUMA UJUMBE HUU KWA WAJEDA JKT TANZANIA

UONGOZI wa Simba umebainisha kuwa hesabu kubwa kwa sasa ni kuelekea mchezo wao ujao wa Ligi Kuu Bara dhidi ya JKT Tanzania unaotarajiwa kuwa na ushindani mkubwa. Ipo wazi kwamba mchezo uliopita Simba ilikuwa ugenini ilivuna pointi tatu dhidi ya Geita Gold kwa bao la Babacarr Sarr dakika ya 81 kwenye mchezo huo akitumia pasi…

Read More

KIJANA ASHINDA JACPOT YA BILIONI KUTOKA SPORTPESA

KAMPUNI ya Michezo na Burudani SportPesa imemtangaza mshindi wa Jackpot ya shilingi 265,780,681 TZS David Mwenge Nyantora (27). David ambaye ni mwajiriwa alibashiri kwa usahihi mechi 13 kati ya 13 kwenye mechi za Supa Jackpot ambayo inamgawanyiko wa Jackpot za mechi 17,16,15,14 na 13 iliyopata mshindi. Akimtangaza mshindi huyo wa awamu ya kumi Mwenyekiti wa…

Read More

KIPA WA KAZI AREJEA YANGA

KIPA wa kazi ndani ya Yanga Djigui Diarra amerejea ndani ya kikosi hicho baada ya kuwa kwenye majukumu mengine ya timu ya taifa. Tayari Diarra ambaye ni kipa namba moja wa Yanga yupo kambini na kikosi hicho baada ya kuwa kwenye majukumu ya timu ya Taifa lake la Mali iliyoshiriki michuano ya Kombe la Mataifa…

Read More