
SHINDA KAPU LA AFCON NA MERIDIANBET, FURSA YA KUPIGA MKWANJA
Mabingwa wa michezo ya kubashiri kampuni ya Meridianbet wanakukaribisha wewe mteja wao katika michuano ya mataifa Afrika kwa mwaka 2024 yanayofahamika kama AFCON ambapo utapata fursa ya kupiga mkwanja. Leo ndio michuano ya AFCON itafunguliwa rasmi ambapo wenyeji wa michuano hiyo timu ya taifa ya Ivory Coast watacheza na timu ya taifa ya Guinnea- Bissau…