MSHAMBULIAJI wa Yanga , Clement Mzize ameingia kwenye orodha ya kumsaka mchezaji bora wa mwezi Januari.
Shindano Hilo linapewa nguvu na Shirika la Bima la NIC ikiwa ni lengo la kuongeza ushindani ndani ya Yanga.
Wengine ambao anapambana nao katika fainali ni beki Gift Fred na kiungo mshambuliaji Willsony Bogy.