>

WANANCHI CHUKUENI TAHADHARI DHIDI YA RED EYES

Wizara ya afya imewaasa wananchi kuchukua tahadhari dhidi ya ugonjwa macho mekundu (Red eyes) Maambukizi ya Kirusi kwenye ngozi ya juu ya gololi ya jicho yajulikanayo kitaalamu “Viral Keratoconjunctivitis” iliyoibuka nchini hivi karibuni.Hayo yamesemwa leo Januari 15, 2024 na Mkurugenzi wa Huduma za Tiba Wizara ya Afya Prof Pascal Ruggajo kwa niaba ya Mganga Mkuu…

Read More

MAOKOTO YA AFCON, FA, COPA DEL REY & KASINO WIKI HII

Mashindano ya Mataifa ya Afrika AFCON yamenoga huko nchini Ivory Coast, leo Tanzania itasimama kushuhudia wajukuu wa Nyerere wakiwa kwenye dimba lenye jina la gwiji wa nchi hiyo Laurent Pokou, watakipiga dhidi ya Morocco ambapo Taifa Stars wamepewa odds kubwa ya 14.7 Historia inaonesha nchi ya Mapharao wenye utajiri wa mafuta, vipaji vya soka, maandiko…

Read More

ISHU YA BALEKE NA PHIRI ITASEPA NA MTU

WAKATI miamba wawili Jean Baleke na Moses Phiri wakikutana na Thank You ndani ya Simba wanatajwa kuwa sababu ya Abdelhak Benchikha kocha wa Simba kuongeza nafasi ya kufungashiwa virago ikiwa nyota wapya watashindwa kufanya vizuri. Phiri kwenye ligi katupia mabao matatu huku Baleke akitupia mabao 8 katika Mapinduzi 2024 kila mmoja alitupia bao mojamoja. Wengine…

Read More

MALI YAFANYA KWELI DIARAA AKIWA LANGONI

KOMBE la Mataifa Afrika, (AFCON) uhondo unazidi kuwa mkali kwa kuwa kila timu inaonyesha uwezo wake ndani ya dakika 90 kusaka ushindi. Miongoni mwa timu zilizoanza kwa ushindi ni Mali ambapo kipa aliyeanza langoni ni Djigui Diarra ambaye ni kipa namba moja wa Yanga. Katika mchezo uliochezwa Januari 16 baada ya dakika 90 ubao ulisoma…

Read More

TAIFA STARS KAZINI LEO AFCON

HATIMAYE baada ya Januari 13 2024 kazi kuanza kufanyika Ivory Coast kwenye mashindano makubwa barani Afrika, Kombe la Mataifa Afrika maarufu kama AFCON leo ni zamu ya Tanzania kutupa kete yake ya kusaka ushindi. Kuelekea kwenye mchezo huo kocha msaidizi wa timu ya taifa ya Tanzania, Hemed Morocco amesema kuwa wachezaji wapo tayari kupambana na…

Read More