>

JEMBE LA KAZI HILI HAPA SIMBA

NYOTA Pa Omar Jobe ni mnyama mwingine baada ya kutambulishwa rasmi Januari 15 2024 ikiwa ni usajili wa kuboresha kikosi hicho kilichogotea nafasi ya pili Mapinduzi 2024. Ipo wazi kwamba Januari 13 ubao wa Uwanja wa New Amaan baada ya dakika 90 kwenye fainali ya Kombe la Mapinduzi ulisoma Mlandege 1-0 Simba. Joseph Akandwanao aliwakanda…

Read More

WINGA HUYU KUKUTANA NA THANK YOU

WINGA Jesus Moloko nyota wa Yanga anatajwa kuwa kwenye hesabu za kupewa mkono wa asante. Nyota huyo hajawa na nafasi kwenye kikosi cha Miguel Gamondi ndani ya Yanga kutokana na ushindani wa namba. Alikuwa kwenye kikosi kilichoshiriki Mapinduzi 2024 kikagotea hatua ya robo fainali kwa kushuhudia ubao ukisoma Yanga 1-3 APR FC. Raia huyo wa…

Read More

KAZI INAANZA AFCON, STARS KUWAKABILI MOROCCO

MUDA uliosubiriwa kwa shauku kubwa ni sasa na kila mmoja anaona namna hali halisi ilivyo nchini Ivory Coast kwenye mashindano makubwa Afrika ambayo yameanza kushika kasi taratibu. Timu ya Taifa ya Tanzania,Taifa Stars ina kazi ya kufanya kwenye mashindano hayo ambapo kikubwa ni kuona kwamba kila mmoja anapenda kuona anapata ushindi na sasa ni kazi…

Read More