>

YANGA: SISI BADO TUPO

UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa bado upo imara kwa ajili ya mashindano mengine licha ya kufungashiwa virago kwenye Kombe la Mapinduzi 2024. Ipo wazi kuwa Yanga iligotea hatua ya robo fainali baada ya kushuhudia ubao ukisoma Yanga 1-3 APR FC. Watakuwa mashuhuda wa fainali ya Mapinduzi 2024 wakiwa kwenye ardhi ya Bongo. Katika mechi…

Read More

JEMBE JIPYA LA SIMBA LIMEANZA KAZI NAMNA HII

MSENEGAL Bababacar Sarr kiungo mpya wa Simba ameanza balaa lake ndani ya Mapinduzi 2024 kwa kuonyesha kile kilichopo kwenye miguu yake. Nyota huyo anayetajwa kuwa na uwezo wa kucheza nafasi zaidi ya mbili uwanjani ikiwa ni kiungo mkabaji na kiungo wa kata alitambulishwa rasmi Januari 6 kujiunga na Simba inayonolewa na Kocha Mkuu, Abdelhack Benchikha….

Read More

NYOTA HAWA WANAACHWA YANGA NA SIMBA

USAJILI wa dirisha dogo unaendelea ambapo kuna wachezaji waliotambulishwa mitaa ya Kariakoo kwa Yanga na Simba. Ikumbukwe kwamba Yanga walikuwa wa kwanza kuanza utambulisho walipomtambulisha kiungo Shekhan Ibrahim kisha Simba walifuata kwa kumtangaza Saleh Karabaka. Kuna orodha ya wachezaji ambao wataachwa kabla ya dirisha la usajili kufungwa.

Read More

RUDISHA 10% YA PESA YAKO UKILIWA KASINO

Huu ni mwaka wa hela tu ukiwa na Meridianbet basi umechagua kushinda kila siku, Cheza Kasino ya Mtandaoni bila hofu yeyote ya kupoteza na endapo itatokea umepoteza tiketi yako unapatiwa rejesho la 10% ya pesa yako. Jisajili na Meridianbet ufurahie bonasi hii. Meridianbet imekuwa ikitoa bonasi kibao kama mizunguko ya bure, Bonasi ya ukaribisho kwa…

Read More

BENCHIKHA AMVUTA MBADALA WA CHAMA SIMBA

KOCHA Mkuu wa Simba, Mualgeria, Abdelhak Benchikha, amewasilisha jina la kiungo wa zamani wa Paide Linnameeskond ya nchini Estonia, Babou Cham raia wa Gambia kwa ajili ya kuwa mbadala wa Clatous Chama. Benchikha tayari amewasilisha orodha ya wachezaji anaowahitaj kwa ajili ya kuongezwa katika dirisha dogo kati ya hao, yupo kiungo mkabaji Babacar Sarr aliyetambulishwa…

Read More

CHELSEA WAANZA MWAKA KIBABE, WASHINDA MECHI TAU

Klabu ya Chelsea wanakuja vizuri siku za karibuni kutokana na kushinda michezo kadhaa mfululizo jambo ambalo limekua nadra kwa klabu hiyo sio msimu huu tu bali kwa misimu miwili ya hivi karibuni. Unaweza kusema Chelsea wameanza kuja taratibu kutokana na hali yao katika ligi kuu ya Uingereza msimu, Hivo wao kupata matokeo ya ushindi mfululizo…

Read More

YANGA: TUNA SILAHA NZITO KWELIKWELI

UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuhusu uwepo wawachezaji wenye uwezo mkubwa katika kikosi hicho zikiwa ni silaha zao za kazi za kupambania ushindi. Ipo wazi kwamba Yanga imeogotea katika hatua ya robo fainali Mapinduzi 2024 imerejea Dar kwa maandalizi ya mechi za Ligi Kuu Bara pamoja na Ligi ya Mabingwa Afrika.

Read More

AMEONGEZA UGUMU MWAMBA HUYU SIMBA

INGIZO jipya ndani ya Simba limeongeza ugumu katika kikosi hicho ambapo kunakuwa na idadi ya wachezaji watatu kwenye eneo hilo ambalo lina kazi kubwa ikiwa ni Fabrince Ngoma, Mzamiru Yassin na Sadio Kanoute. Ni Bababacar Sarr yeye anatajwa kuongeza ugumu kwenye eneo hilo ndani ya Simba.

Read More