>

KIKOSI CHA TAIFA STARS AFCON 2023

HII hapa orodha ya kikosi cha mwisho cha wachezaji 27 cha timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) kwa ajili ya michuano ya Kombe la Mataifa Afrika (AFCON 2023) 1. Kwesi Zion Kawawa 2. Haji Mnonga 3. Mudathir 4. Bacca 5. Dickson Job 6. Feisal Salum 7. Himid Mao 8. Morice Abraham 9. Cyprian Kachele…

Read More

Kuwa Milionea Leo Hii na Mechi Hizi za FA

Ikiwa leo hii ni JUmapili tulivu kabisa, mechi za kombe la FA Uingereza linataka kukupa pesa endapo utabshiri na meridianbet kwnai huku kuna machaguo mengi sana ambayo unaweza ukachagua na yakakupatia mkwanja mnono. Ushindwe wewe tuu kujibweda. Mechi kubwa leo hii ni ile inayowakutanisha kati ya Arsenal dhidi ya Liverpool yani ni kivumbi na jasho….

Read More

SIMBA NA HESABU ZAO HIVI

AHMED Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba amesema kuwa malengo makubwa ya timu hiyo ni kufanya vizuri kwenye mechi zote ambazo watacheza. Kwa sasa Simba inashiriki Kombe la Mapinduzi ambapo imetinga hatua ya robo fainali ikivunja rekodi yake mbovu ya kukwama kufika katika hatua hiyo 2023. Ni mchezo dhidi ya Jamhuri itakuwa…

Read More

MAJEMBE HAYA YANAKUJA SIMBA, YANGA

USAJILI wa dirisha dog unaendelea ambapo kila timu ipo sokoni kusaka wachezaji ambao inawahitaji kumalizana nao kwa ajili ya kuwa ndani ya timu kwa msimu wa 2023/24 ambao una ushindani mkali. Kama mambo yatakuwa sawa miongoni mwa nyota wanaotajwa kuibukia mitaa ya Kariakoo ni pamoja na Simon Msuva, Edwin Balua.

Read More

OKRA KAMILI GADO, KUANZIA HAPA

BAADA ya kupata maumivu kwenye mchezo wake wa kwanza akiwa na uzi wa Yanga, hali yake kwa sasa inaendelea vizuri kwa Augustine Okra akitarajiwa kuwa kwenye kikosi cha nusu fainali  ama fainali kama watafika lakini atakosekana leo Januari 7. Okra ambaye ni ingizo jipya alipata maumivu kwenye mchezo wake wa kwanza ilikuwa dhidi ya KVZ…

Read More