DABI NDANI YA TANGA, MKWAKWANI, YANGA V SIMBA

NI Kariakoo Dabi ndani ya Tanga inasubiriwa kwa shauku kutokana na kila mmoja kushinda kigingi cha kwanza cha nusu fainali. Katika nusu fainali ya pili dakika 90 zilikuwa ni ngumu kwa nyota wote katika kucheka na nyavu kati ya Simba dhidi ya Singida Fountain Gate. Ubao umesoma Simba 0-0 Singida Fountain Gate na kupeleka changamoto…

Read More

SIMBA 0-0 SINGIDA FOUNTAIN GATE

KIPA namba mbili wa Simba Ally Salim yupo langoni na ameshuhudia dakika 45 za mwanzolango likiwa salama. Ikiwa ni hatua ya nusu fainali ya pili Ngao ya Jamii Uwanja wa Mkwakwani Tanga. Ubao unasoma Simba 0-0 Singida Fountain Gate. Mshindi wa mchezo wa leo anakwenda kukutana na mshindi wa fainali ya kwanza iliyochezwa Agosti 9.

Read More

AZAM FC NI MASHUHUDA WA FAINALI TANGA

AZAM FC watakuwa mashuhuda wa fainali Agosti 13 katika mchezo wa Ngao ya Jamii baada ya kugotea hatua ya nusu fainali ya kwanza kwa kupoteza mbele ya Yanga. Licha ya kuanza kwa kasi Agosti 9 dhidi ya Yanga waliambulia maumivu kwa kupoteza mazima mchezo huo dhidi ya Yanga. Ikumbukwe kwamba Yanga ilitwaa taji ya Ngao…

Read More

NDONDO CUP KUNA SHIDA

UONGOZI wa Chama cha Soka Ubungo (UFA) umeweka wazi kuwa kumekuwa na changamoto ya viwanja katika uendeshaji wa mashindano ya Ndondo Cup ambayo yanaendelea jijini Dar. Shida hiyo ya viwanja inawafanya wachezaji kukwama kutoa ile burudani kwa mashabiki kwa kiwango cha juu kutokana na kuhofia kupata maumivu. Ikiwa ni muendelezo wa 32 Bora ambapo timu…

Read More

HAPA NDIPO WANAPOPATAKA DODOMA JIJI

UONGOZI wa Dodoma Jiji FC umesema maandalizi yao kwa ujumla na jinsi walivyotumia kipindi cha pre season kuwafua zaidi wachezaji wao kuelekea msimu ujao wa Ligi Kuu Tanzania Bara wanaimani kubwa ya kumaliza nafasi tano za juu. Dodoma Jiji wanatambua kwamba walipishana na ubingwa msimu wa 2022/23 ambao ulikwenda Yanga. Pia katika mchezo wa mzunguko…

Read More

KMC WAPIGA MKWARA MZITO

UONGOZI wa KMC umeweka wazi kuwa upo tayari kwa ajili ya Ligi Kuu Bara msimu wa 2023/24 kutokana na maandalizi ambayo wamefanya. Timu hiyo yenye maskani yake Kinondoni mchezo wake wa kwanza kwenye ligi takuwa dhidi ya Yanga. Ikumbukwe kwamba Yanga ni mabingwa watetezi wa ligi baada ya kutwaa taji hilo msimu wa 2022/23. Timu…

Read More