KIPA MPYA SIMBA HUYU HAPA

RASMI Klabu ya Simba imetangaza nyota Jefferson Luis raia wa Brazil kuwa kipa mpya ndani ya timu hiyo. Kipa huyo ni nyota wa 10 kusajiliwa ndani ya Simba ambayo imeweka kambi Uturuki kwa ajili ya maandalizi ya msimu wa 2023/24. Alikuwa anacheza Klabu ya Resende FC ya Serie D ya Brazil na msimu uliopita alicheza…

Read More

VIDEO:MWALIMU YANGA AMCHAMBUA MAXI

MWALIMU Yanga amemchambua nyota mpya wa Yanga Maxi ambaye ameonekana kuwa nyota wa mchezo dhidi ya Kaizer Chiefs. Katika kilele cha SportPesa Wiki ya Mwananchi Julai 22 Maxi aliupiga mwingi ndani ya dakika 45 na ubao ukasoma Yanga 1-0 Kaizer Chiefs ukiwa ni mchezo wa kimataifa wa kirafiki.

Read More

HII YA YANGA IMEENDA MABORESHO YANAHITAJIKA

HATIMAE SportPesa Wiki ya Mwananchi 2023 imeenda na kweli imekuwa hivyo kwa namna ambavyo walikuwa wamepanga. Mpangilio mzima wa matukio na namna ambavyo mashabiki walijitokeza kuona burudani hizo. Hatua moja kila wakati mbali na mchezo wa kimataifa wa kirafiki ambao ulikamilika kwa ubao wa Uwanja wa Mkapa kusoma Yanga 1-0 Kaizez Chiefs bado kazi imeonekana….

Read More

MSHAMBULIAJI WA SIMBA SUALA LA MUDA KUTANGAZWA

MSHAMBULIAJI wa zamani wa Simba Charles Ilanfya anatajwa kufikia makubaliano mazuri na Ihefu muda wowote atasaini mkataba mpya na kutangazwa. Ihefu ya Mbeya ni timu ya kwanza kuifunga Yanga kwenye ligi kwa msimu wa 2022/23. Ikumbukwe kwamba wakati rekodi ya Ihefu kuifunga Yanga inaandikwa timu ya Yanga ilikuwa imecheza mechi 49 za ushindani kwenye ligi…

Read More