JUMA MGUNDA NA SIMBA KUNA KITU

UPO uwezekano mkubwa wa Simba kuendelea na kocha wake msaidizi, Juma Mgunda katika msimu ujao licha ya usiri mkubwa ulikuwepo kati yake na mabosi wa timu hiyo. Mgunda hakuwakatika msafara wa timu hiyo, uliosafiri kwenda nchini Uturuki kwa ajili ya kambi ya wiki tatu kujiandaa na msimu ujao. Kocha huyo mzee wa ball itembee ni…

Read More

MSHAMBULIAJI HUYU MLANGONI YANGA

INAELEZWA kuwa Sudi Abdallah, ambaye ni raia wa Burundi, ndiye straika mpya anayekuja Yanga kurithi mikoba ya Mayele anayeondoka kwenda kucheza kwenye moja ya klabu huko Saudi Arabia. Sudi mara ya mwisho Januari 12, 2023, aliuzwa na Klabu ya Al-Naft SC  ya nchini Iraq ambapo Julai 5 alijiunga na Klabu ya Kuching City ya nchini…

Read More

MAYELE ANASEPA YANGA, ISHU IPO HIVI

UNAAMBIWA sasa ni rasmi kuwa mshahara wa milioni 50 aliopewa Fiston Mayele unamhalalisha hatakuwa mchezaji tena wa Yanga msimu ujao baada ya kuomba kwenda kukipiga nchini Saudi Arabia huku Yanga wakilambishwa zaidi ya Bilioni 1.2 kama dau la usajili. Mayele alijiunga na Yanga kwa mkataba wa miaka miwili kisha akaongezwa mmoja mwaka jana akitokea As…

Read More