KMC NA BENCHI JIPYA

ABDI Hamid Moallin ni kocha mpya ndani ya kikosi cha KMC chenye ngome yake pale Kinondoni. Kocha huyo ambaye amewahi kuifundisha Azam FC amerejea kwa mara nyingine kwenye ardhi ya Bongo. Safari hii atakuwa na KMC kuipambania ndani ya Ligi Kuu Bara msimu mpya ujao. KMC haikuwa na mwendo mzuri ndani ya msimu wa 2022/23…

Read More

YANGA YAPIGA MKWARA KUHUSU USAJILI

UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa kwa usajili ambao wameufanya watawasumbua kwelikweli wapinzani wao kwenye mechi zote za ushindani. Ni mzawa Nickson Kibabage kutoka Singida Fountain Gate huyu ametambulishwa ndani ya kikosi cha Yanga kiachonolewa na Kocha Mkuu Miguel Gamondi. Mwingine ni Jonas Mkude ambaye alikuwa ndani ya Simba sasa atakuwa ndani ya kikosi cha…

Read More

USAJILI WA SIMBA KIPA BADO MTIHANI MKUBWA

KWENYE usajili wa Simba katika dirisha lililofunguliwa hivi karibuni ni mzawa mmoja ametambulishwa ambaye ni David Kameta, ‘Duchu’. Moja ya mabeki wenye juhudi kwenye timu za kati amerejea ndani ya kikosi cha Simba anajukumu la kupambana kufikia uwezo wa kufanya kweli. Wapo wazawa wengi ambao waliibuka ndani ya Simba kutoka timu za madaraja ya kati…

Read More

JONAS MKUDE MOJA YA SAINI BORA NDANI YA YANGA

AMONG of the Quality sign hivyo tu basi unaweza kusema ikiwa utahitaji kueleza kuhusu usajili wa Yanga kwa kiungo wa kazi eneo la kati anayeitwa Jonas Mkude. Ni yeye Jonas Mkude hivi karibuni alipokuwa akizungumzia kuhusu yeye kuibuka ndani ya Yanga tetesi zilipokuwa nyingi hakuzungumza maneno mengi wala machache lakini yalikuwa na uzito mkubwa sana….

Read More