>

HIKI HAPA KIKOSI CHA SIMBA DHIDI YA SINGIDA BIG STARS

KIKOSI cha Simba kina kazi ya kusaka ushindi dhidi ya Singida Big Stars mchezo unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa.

Hiki hapa kikosi cha kwanza ambacho kinatarajiwa kuanza namna hii:-

Aishi Manula

Shomary Kapombe

Mohamed Hussein

Joash Onyango

Henock Inonga

Sadio Kanoute

Pape Sakho

Baleke

Mzamiru Yassin

Ntibanzokiza

Clatous Chama

Akiba ni

Beno Kakolanya

Nyoni

Gadiel

Kennedy

Sawadogo

Kibu

Bocco

Kyombo

Okra