>

UCHAGUZI UMEGOTA MWISHO, MAKUNDI YASIWEPO

Murtaza Mangungu ameshinda uchaguzi nafasi ya Mwenyekiti wa Klabu kwa kupata kura 1,311. Tayari kwa sasa uongozi mpya umepatikana na kampeni muda wake umekwisha. Yale yote ambayo ymaetokea kwenye masuala ya uchaguzi pamoja na kampeni ni muhimu kuyafanyia kazi ili kuwa imara wakati ujao. Kwa walioshinda hongereni na tunatambua kwamba mmetoa ahadi kwa wachama na…

Read More