>

WAPINZANI WA SIMBA WAPIGA MATIZI YA MWISHO MKAPA

WAPINZANI wa Simba, ASEC Mimosas leo Februari 12,2022 wamefanya mazoezi ya mwisho Uwanja wa Mkapa. Ni kwa ajili ya maandalizi ya mchezo wa kesho Februari 13, Uwanja wa Mkapa dhidi ya Simba. Utakuwa mchezo wa kwanza kwa timu hizo ndani ya kundi D katika Kombe la Shirikisho Afrika ambapo kila timu hesabu zake ni kusepa…

Read More

LWANGA KUWAKOSA ASEC MIMOSAS LICHA YA KUPIGA MATIZI

LICHA ya Taddeo Lwanga kiungo mkata umeme wa Simba kuanza mazoezi hana uhakika wa kuanza kesho mbele ya ASEC Mimosas ya Ivory Coast. Simba inayonolewa na Kocha Mkuu, Pablo Franco inakibarua cha kusaka ushindi kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho, hatua ya makundi. Kwa sasa Simba ipo kwenye maandalizi ya mwisho ya mchezo wao wa…

Read More

JOB KUKOSA KAZI MBELE YA MABOSI WAKE

DICKSON Job, beki kitasa wa Yanga ambaye ni chaguo la kwanza la Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi anatarajiwa kuukosa mchezo ujao wa ligi dhidi ya Mtibwa Sugar. Job aliibuka ndani ya Yanga akitokea Mtibwa Sugar ambapo huko pia alikuwa ni nahodha na chaguo la kwanza la Kocha Mkuu, Zuber Katwila ambaye alikuwa anakinoa kikosi hicho kabla…

Read More

TANZIA:BEKI SONSO ATANGULIA MBELE ZA HAKI

ALLY Mtoni, ‘Sonso’ beki wa mpira aliyekuwa anakipiga ndani ya kikosi cha Ruvu Shooting ametangulia mbele za haki. Taarifa ambayo imetolewa leo imeeleza kuwa beki huyo amepatwa na umauti kutokana na kusumbuliwa na tatizo la mguu. Ikumbukwe kwamba Sonso mwenye miaka 29 aliwahi kucheza ndani ya kikosi cha Yanga kisha akaibukia Kagera Sugar. Timu nyingine…

Read More

MO AWAWEKEA SIMBA MIL 200 WAIFUNGE ASEC

  KATIKA kuhakikisha wanapata ushindi wa kwanza nyumbani dhidi ya Asec Mimosas ya nchini Ivory Coast katika mchezo wa kwanza wa makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika, Rais wa Heshima wa Simba, bilionea Mohamed Dewji ‘Mo’, ameahidi kuwapa bonasi nzuri inayofikia Sh 200Mil kama wakifanikiwa kuwafunga wapinzani wao hao. Timu hizo zinatarajiwa kuvaana Jumapili hii…

Read More

NYOTA HAWA WA SIMBA KUIKOSA MECHI YA KIMATAIFA KWA MKAPA

KOCHA Mkuu wa Simba, Pablo Franco Martín amesema kuwa Katika mchezo wa kimataifa wa Kombe la Shirikisho Afrika (CAF) dhidi ya ASEC Mimosas watawakosa nyota wao watano kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo majeruhi. Wachezaji hao ni mshambuliaji Chris Mugalu  ambaye amevunjika mkono hivyo hatahusika katika mchezo huo, Kibu Denis  ambaye anatarajiwa kuanza mazoezi mepesi. Pia…

Read More

KIGOGO YANGA AWEKA MKATABA WA BERNARD MORRISON MEZANI

IMEELEZWA kuwa, kigogo mwenye ushawishi wa fedha na usajili ndani ya Yanga, amewaita Kamati ya Utendaji ya klabu hiyo kwa ajili ya kujadili hatima ya kumpa mkataba kiungo Mghana, Bernard Morrison. Kiungo huyo hivi sasa yupo katika mgogoro na mabosi wake wa Simba ambapo wiki iliyopita walitangaza kumsimamisha kwa makosa ya utovu wa nidhamu. Mghana…

Read More

BOSI SIMBA ATAMBA KUWAFUNGA ASEC MIMOSAS NA RS BERKANE

MWENYEKITI wa Klabu ya Simba, Murtaza Mangungu, ametamba kuwa, malengo waliyojiwekea msimu huuni kufika nusu fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika, hivyo kwa kuanza wataanza kuchukua pointi tatu mbeleya ASEC Mimosas, kisha RS Berkane. Jumapili hii kwenye Uwanja wa Mkapa, Dar es Saalaam, Simba itapambana na ASEC Mimosas, ukiwa ni mchezo wa kwanza wa hatua…

Read More

KIBU DENIS, DILUNGA MAJANGA SIMBA

MENEJA Habari na Mawasiliano wa Simba, Ahmed Ally, amefungukia maendeleo ya wachezaji wao Kibu Denis na Hassan Dilunga ambao kwa sasa ni majeruhi. Hiyo ni katika kuelekea mchezo wa kwanza wa Kombe la Shirikisho Afrika hatua ya makundi dhidi ya Asec Mimosas utakaochezwa Jumapili ya wiki hii kwenye Uwanja wa Mkapa, Dar.   Akizungumza na…

Read More

MO BADO YUPO SIMBA,ATINGA KAMBINI

RAIS wa Heshima ndani ya Klabu ya Simba, Mohamed Dewji amesema kuwa anaamini timu hiyo itafanya vizuri katika Kombe la Shirikisho kutokana na wachezaji kuwa tayari kwa ushindani. Februari 13,Simba itakuwa na kazi ya kusaka ushindi mbele ya ASEC Mimosas ya Ivory Coast mchezo unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa. Februari 9,Mo aliweza kuwatembelea wachezaji kambini…

Read More