KITASA wa kazi ngumu ndani ya kikosi cha Simba , Mzamiru Yassin amepachika bao la kuongoza ugenini.
Dakika ya 14 usomaji wa ubao wa Uwanja wa Sokoine ulibadilika na kusoma Mbeya City 0-1 Simba.
Bao la Mzamiru limepachikwa dakika ya 14 kwa pasi ya mshambuliaji John Bocco.