>

GEITA 0-1 YANGA

BAO la penalti limefungwa na Bernard Morrison dakika ya 45 na kuwapeleka Yanga mapumziko Uwanja wa CCM Kirumba wakiongoza mbele ya Geita Gold.

Mwamuzi wa kati anajua kuhusu penalti hiyo namna ilivyoweza kuamuriwa kwa kuwa alikuwa karibu na mpira.

Kutokana na penalti hiyo wachezaji wa Geita Gold walionekana wakilalamika na kupelekea Ayoub Lyanga kuonyeshwa kadi ya njano.

Mshabiki wamejitokeza kwa wingi kushuhudia mchezo wa leo ambao dakika 45 za mwanzo ukiweka kando penalti zilikuwa na ushindani mkubwa