>

VIDEO: JEMBE: AZIZ KI BADO SANA ANAHITAJI MUDA

MWANDISHI mkongwe kwenye habari za michezo Jembe ameweka wazi kuwa Kocha Mkuu Nasreddine Nabi akipata nafasi ya kuwatumia mbele Aziz KI na Feisal inaweza kuwa bora kwa kuwa kuwa chini inakuwa haina msaada zaidi ya kucheza faulo na anaweza kupata kadi nyekundu, kiungo Aziz ki bado sana ndani ya Yanga kutokana na ubora wake zaidi ya pigo huru