MBOTO shabiki wa Yanga ameweka wazi kuwa utaalamu zaidi unafanyika ndani ya Yanga ikiwa ni pamoja na suala la Ofisa Habari huku akimtaja Ally Kamwe na amebanisha kuwa Yanga imekuwa ikifanya mazoezi yake Kigamboni na mechi za kirafiki zinachezwa kwa mujibu wa ratiba