
SAUTI:KMC WATAMBIA USAJILI,WATAJA SABABU YA KUACHA RUDO LA WACHEZAJI
CHRISTINA Mwagala Ofisa Habari wa KMC amesema kuwa sababu kubwa ya kuweza kuwaacha wachezaji wengi ni kuweza kujenga timu mpya kwa msimu wa 2022/23
CHRISTINA Mwagala Ofisa Habari wa KMC amesema kuwa sababu kubwa ya kuweza kuwaacha wachezaji wengi ni kuweza kujenga timu mpya kwa msimu wa 2022/23
TIMU ya Taifa ya Tanzania,Taifa Stars leo imeibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Somalia ikiwa ni mchezo wa kuwania kufuzu CHAN. Mabao ya Tanzania yamefungwa na Abdul Suleiman dk 33 na Dickson Job dk ya 67. Mchezo wa leo umechezwa Uwanja wa Mkapa ambapo Stars ilianza kufunga kipindi cha kwanza kupitia kwa Sopu…