
SAUTI:REKODI ZA BEKI MPYA YANGA
YANGA imemtambulisha beki mpya ambaye ni Joyce Lomalisa,hizi hapa rekodi zake
YANGA imemtambulisha beki mpya ambaye ni Joyce Lomalisa,hizi hapa rekodi zake
KCHEKI ufundi wa Augustino Okrah winga mpya anayetajwa kuibukia Simba
KOCHA Mkuu wa Simba,Zoran Maki leo Julai 12,2022 ametambulishwa rasmi kwa mashabiki wa Simba ambapo ameweka wazi kwamba anatambua kwenye kila nchi kuna mechi za dabi. Leo amewasili Tanzania raia huyo wa Serbia na anatarajia kukiongoza kikosi hicho kwa muda wa mwaka mmoja ikiwa ni mkataba ambao amesaini kuwatumikia washindi hao wa pili kwenye ligi….
GAEL Bigirimana ingizo jipya ndani ya kikosi cha Yanga linapewa nafasi ya kufanya vizuri kwenye kikosi hicho kwa msimu ujao wa 2022/23 kutokana na uzoefu ambao anao.
KAMBI Yanga imenoga,Simba haipoi ndani ya Spoti Xtra Jumanne
MASTAA watatu wa kimataifa wanatajwa kuwa kwenye hesabu za Simba ambayo jana ilimtambulisha nyota mpya ambaye Nassoro Kapama kutoka Kagera Sugar. Kapama yeye ni mzawa amepewa dili la miaka miwili kwa ajili ya kuwa ndani ya timu hiyo. Cesar Manzoki huyu ni raia wa Uganda kwa ajili ya kuongeza nguvu ndani ya kikosi hicho na…
JULAI 22,2022 kikosi cha Azam FC kinatarajiwa kuondoka Dar na kuibukia nchini Misri kwa ajili ya kuweka kambi kwa maandalizi ya msimu wa 2022/23 watakaa huko hadi Agosti 12,2022 kwenye Mji wa El Gouna, Kwa Mujibu wa Ofisa Habari wa Azam FC,Zakaria Thabit amebainisha hayo kwa kuweka wazi kuwa hayo yametokea baada ya vikao kuweza…
JOYCE Lomalisa ni nyota mpya ndani ya kikosi cha Yanga baada ya kutambulishwa usiku wa kuamkia leo Julai 12,2022 na mabosi wa timu hiyo ambayo imetwaa ubingwa wa Ligi Kuu Bara msimu wa 2021/22. Yeye ni beki raia wa DR Congo kwa dili la miaka miwili ambapo alikuwa akicheza Klabu ya Bravaso do Maqui…