SportsSAUTI:INJINIA AWEKA WAZI MAMBO MAKUBWA YAJAYO YANGA Saleh3 years ago01 mins BAADA ya kutwaa mataji matatu ndani ya msimu wa Ligi Kuu Bara ikiwa ni pamoja na Ligi Kuu Bara,Kombe la Shirikisho pamoja na ile Ngao ya Jamii, Injinia Hersi Said ameweka wazi kuwa msimu ujao wa 2022/23 bado mambo makubwa yanakuja Post navigation Previous: SOPU ALIYEKUWA ANATAJWA SIMBA AIBUKIA AZAM FCNext: CITY YAPATA KIPA MPYA MPAKA 2028