KIKOSI CHA SIMBA V YANGA, UWANJA WA MKAPA

APRILI 30,2022 leo Uwanja wa Mkapa majira ya saa 11:00 jioni unatarajiwa kuchezwa mchezo wa Ligi Kuu Bara kati ya Yanga v Simba.

Huenda Pablo Franco, Kocha Mkuu wa Simba akapanga kete zake namna hii:-

Aishi Manula

Zimbwe

Henock Inonga

Joash Onyango

Shomari Kapombe

Pape Sakho

Sadio Kanoute

Jonas Mkude

Clatous Chama

Meddie Kagere

Bernard Morrison.