RATIBA YA MZUNGUKO WA 18,LIGI KUU BARA

Mzunguko wa 18, ratiba ya Ligi Kuu Bara:-

Mbeya City v Kagera Sugar, Machi 12, Uwanja wa Sokoine.

Coastal Union v Ruvu Shooting, Uwanja wa Mkwakwani, Machi 12.

Mtibwa Sugar v Geita Gold, Uwanja wa Manungu Machi 13.

Dodoma Jiji v Mbeya Kwanza, Uwanja wa Jamhuri, Dodoma Machi 13.

Biashara United v Prisons, Machi 15,Uwanja wa Kirumba.

Namungo v Azam FC, Uwanja wa Ilulu,Machi 16.

Yanga v KMC, Uwanja wa Mkapa, Machi 19.

PolisiTanzania v Simba itapangiwa tarehe..