>

LEO LIGI KUU BARA RATAIBA HII HAPA

LIGI Kuu Tanzania Bara inaendelea leo Machi 7 ikiwa ni mzunguko wa 17.

Ruvu Shooting itamenyana na Biashara United saa 8:00 mchana ni Uwanja wa Mabatini.

KMC wao watamenyana na Coastal Union pale Azam Complex ngoma itakuwa saa 10:00 jioni.

Simba SC itakuwa Uwanja wa Mkapa dhidi ya Dodoma Jiji, saa 1:00 usiku.