>

FT: YANGA 2-1 BIASHARA UNITED

BAADA ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Mkapa katika mchezo wa Kombe la Shirikisho umesoma Yanga 2-1 Biashara United. Mabao yote yamefungwa kipindi cha kwanza katika mchezo wa leo ambao ulikuwa na ushindani mkubwa. Ni Yannick Bangala alianza kupachika bao la kuongoza na bao la pili likafungwa na Fiston Mayele. Kwa upande wa Biashara…

Read More

YANGA 2-1 BIASHARA UNITED

MCHEZO wa Kombe la Shirikisho unaoendelea Uwanja wa Mkapa Yanga ipo mbele kwa mabao 2-1 dhidi ya Biashara United. Ni Yannick Bangala alipachika bao la kuongoza na lile la pili lilipachikwa na Fiston Mayele. Collins Opare alipachika bao kwa Biashara United wanajeshi wa mpakani.

Read More

WIKI BOMBA UCL NA USHINDI WA MERIDIANBET

Wiki hii inakuwa tamu zaidi kwenye Ligi ya Mabingwa Ulaya, Mbappe akiwa anakutana na klabu yake pendwa anayo husishwa nayo zaidi ya Real Madrid. Meridianet wana mzigo wako kwenye gemu hii. Messi atakuwa akitazamwa zaidi kwenye gemu hii, ambayo kutokana na muda wake na Barcelona ni kama amekuwa na upinzani wa kudumu na Real Madrid…

Read More