BOSI YANGA AMETUMA KOMBORA KWA SIMBA KIMTINDO
WAKIWA ni vinara wa Ligi Kuu Bara ndani ya msimu wa 2023/24 uongozi wa Yanga umeweka wazi kuwa malengo makubwa ni kuwa kwenye mwendelezo mzuri wa kazi ndani ya uwanja huku akiwaambia mashabiki kuwa wale ambao wamechagua timu hiyo wamechagua furaha.