
LEY MATAMPI AMESHINDA TUZO YA GOLIKIPA BORA WA LIGI KUU
Mlinda mlango wa Coastal Union, Ley Matampi ameshinda tuzo ya golikipa bora wa Ligi kuu ya NBC Tanzania bara Msimu wa 2023/2024 akiwashinda Djigui Diarra wa Yanga na Ayoub Lakred wa Simba SC.
Mlinda mlango wa Coastal Union, Ley Matampi ameshinda tuzo ya golikipa bora wa Ligi kuu ya NBC Tanzania bara Msimu wa 2023/2024 akiwashinda Djigui Diarra wa Yanga na Ayoub Lakred wa Simba SC.
Kasino ya Meridianbet inakupeleka hadi kwenye msitu wenye wanyama pori ambao, watakupa ushindi muda wowote unapokutana nao. Jisajili Meridianbet kisha ingia upande wa Kasino ya Mtandaoni. Katika Kasino ya Mtandaoni Meridiannbet kuna Sloti ya Forest Rock ina muundo wa kizamani wenye kolamu 5 na mistari 15 ya ushindi. Suala la kuchagua Meridianbet basi umechagua ushindi…
MATAJIRI wa Dar, Azam FC wamezindua uzi mpya kwa ajili ya msimu wa 2024/25 ambao ni bora kwelikweli ukiwa ni mtoko wa Dunia. Azam FC inayonolewa na Kocha Mkuu Bruno Ferry akishirikiana na Yusuph Dabo ina kibarua cha kupeperusha bendera ya Tanzania kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya kugotea nafasi ya pili kwenye msimamo….
Wild Corrida ni mchezo wa kasino unaonesha onyesho utamaduni wa mapigano ya ng’ombe na ni maarufu sana nchini Hispania na Ureno. Jisajili Meridianbet upate bonasi ya ukaribisho ya 300% Mchezo huu wa kasino ya Mtandaoni ulioandaliwa na mtengenezaji maarufu wa michezo ya kasino, Expanse Studios. Mchezo huu wa kasino umejaa bonasi za Kasino, hivyo hakuna…
FEISAL Salum anaingia kwenye orodha ya nyota waliofanya kazi kubwa kwenye kutimiza majukumu yao ndani ya uwanja akiwa ni chaguo la kwanza la Kocha Mkuu, Bruno Ferry msimu wa 2023/24. Kwa mujibu wa mchambuzi wa mpira Bongo Mohamed Mohamed maarufu kama Dr Mo amebainisha kuwa kiungo huyo anastahili tuzo yake binafsi kutokana na jitihada kubwa…
MWAMBA Aziz Ki ndani ya msimu wa 2023/24 alifunga jumla ya mabao 21 katika Ligi Kuu Bara ndani ya uwanja akiwa na tuzo yake mkononi kwa sasa ambayo ni ile ya mfungaji bora. Ki ni namba moja kwa watupiaji wa mabao ndani ya ligi alipofunga jumla ya mabao 21 kati ya 71 na alitoa pasi…
KUELEKEA Simba Day Agosti 3 2024 uongozi wa Simba umebainisha kuwa mashabiki wamefanya jambo kubwa ambalo linastahili pongezi kwa kununua tiketi zote za tamasha hilo linalosubiriwa kwa shauku kubwa kwenye ulimwengu wa michezo. Mtendaji Mkuu wa Simba Imani Kajula amewashukuru mashabiki wa timu hiyo kwa kufanikisha jambo hilo kwa kununua tiketi zote licha ya kuwa…
AZIZ Ki na Feisal Salum vita yao kwenye rekodi ilikuwa ngoma nzito kutokana na kila mmoja kupambana kufikia malengo yao kwa msimu wa 2023/24 na mwisho Aziz Ki alikuwa namba moja kwenye utupiaji akiwa na mabao 21 Fei mabao 19.
Beki wa Chelsea, Wesley Fofana amevunja ukimya kuhusu sakata la ubaguzi wa rangi la kiungo Enzo Fernandez na kubainisha kuwa Muargentina huyo sio mbaguzi baada ya kuwaomba msamaha wachezaji wenzake wa Chelsea. Mapema mwezi huu Enzo akiwa kwenye majukumu ya timu ya taifa alionekana kwenye video iliyovuma kwenye mitandao ya kijamii akiimba nyimbo za kibaguzi…
Mshambuliaji wa zamani wa Manchester City na Leicester City, Kelechi lheanacho amejiunga na klabu ya Sevilla ya Uhispania kwa uhamisho huru. lheanacho (27) raia wa Nigeria amesaini mkataba wa miaka miwili wa kuitumikia klabu hiyo mpaka Juni 2026 na chaguo la kuongezeka mpaka 2027.
Klabu ya Paris Saint-Germain imekamilisha uhamisho wa kiungo Joao Neves (19) raia wa Ureno kutoka Benfica kwa dau la Euro Milioni 60 pamoja na ongezeko la Euro Milioni 10 baadae. Kiungo Renato Sanches anahamia Benfica kwa mkopo kutoka PSG kama sehemu ya dili hilo akirejea Benfica miaka 8 tangu alipoondoka klabuni hapo mnamo na kujiunga…
UBAYA ubwela itakuwa Uwanja wa Mkapa kwa kucheza mchezo wa kimataifa wa kirafiki dhidi ya APR kutoka Rwanda kitaumana kwa wababe hao ndani ya uwanja kusaka ushindi na utambulisho wa wachezaji wapya na wale waliokuwa na kikosi hicho kwa msimu wa 2023/24. Katika usajili Simba haijatikisa kwenye anga la Bongo kutokana na kuwa na wachezaji…
Matumaini ya Tanzania kwenye michuano ya Olympic 2024 yanayoendelea nchini Ufaransa kwasasa yapo kwa Alphonce Simbu pamoja na wenzake ambao wanaiwakilisha nchi kwenye mchezo wa kukimbia mbio ndefu (Marathon). Mpaka sasa Tanzania imebaki kwenye michuano miwili ambayo ni wa kuongea ambapo kuna mshiriki mmoja huku mmoja akiwa tayari ameondoshwa, Lakini kwenye riadha mbio ndefu wamebaki…
KATIKA Ligi ya Mabingwa Afrika hatua ya makundi Al Ahly Waarabu wa Misri walikuwa ni imara kwenye upande wa ulinzi kutokana na ukuta wao kutoruhusu mabao mengi ya kufungwa katika mechi za ushindani. Rekodi zinaonyesha kuwa mabingwa hao ambao walimenyana na Simba kwenye hatua ya robo fainali Ligi ya Mabingwa Afrika walifugwa bao moja pekee…
UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa wamekamilisha kambi yao nchini Misri kwa mafanikio wanarejea kuwapa furaha mashabiki wao. Agosti 3 itakuwa ni kilele cha Simba Day na tayari wamefanya uzinduzi wa uzi mpya ilikuwa Julai 24 2024, kwenye hifadhi za Mikumi, Morogoro. Simba chini ya Kocha Mkuu, Fadlu Davids ni mechi tatu za kirafiki ilicheza…
UHAKIKA kuelekea kwenye kilele cha Wiki ya Mwananchi kutakuwa na supu ya maana kutoka kwa SportPesa wadhamini wakuu wa timu hiyo inayonolewa na Kocha Mkuu, Miguel Gamondi. Yanga Agosti 4 inatarajiwa kuwa ni kilele cha Wiki ya Mwananchi ambapo ni siku maalumu ya utambulisho kwa benchi la ufundi la Yang, wachezaji wapya na wale waliokuwa…
Dili la Kibu D na timu ya ligi kuu ya Norway,Kristiansund BK,limekufa Baada ya Simba kumtaka mchezaji huyo arejee nchini Mara moja. Mwanzoni Simba walikuwa kwenye mazungumzo ya moja kwa moja na Kristiansund BK,na walikuwa tayari kumuachia mchezaji huyo Ila ghafla Simba wakawatumia email Kristiansund BK ya kuwajuza Kibu hauzwi Tena…hii ni Baada ya kuhisi…