KOCHA MANCHESTER UNITED MAMBO MAGUMU

BAADA ya kupoteza kwa kushuhudia ubao wa Uwanja wa London ukisoma West Ham 2-1 Manchester United, Gary Neville ameweka wazi kuwa anafikiria Eric ten Hag atafukuzwa ndani ya timu hiyo. Manchester Legend, Gary Neville amesema kuwa anaamini bosi wa Manchester United, Eric ten Hag ataondolewa katika majukumu yake ndani ya Manchester United, inayotumia Uwanja wa…

Read More

BEKI WA SIMBA ANAFIKIRIA KUFUNGA ZAIDI

BEKI wa Simba, Che Malone ana hasira na nyavu kutokana na kupania kuendelea kufunga pale anapopata nafasi ndani ya uwanja kwenye mechi za ushindani msimu wa 2024/25. Ipo wazi kwamba beki huyo anashikilia rekodi ya kuwa nyota wa kwanza kufunga ndani ya ligi kwa upande wa Simba ilikuwa Uwanja wa KMC Complex baada ya dakika…

Read More

NAFASI KUBWA YA KUSHINDA UNAYO LEO

Chelsea, PSG, Bayern, Inter na wengine kibao wapo dimbani leo kuhakikisha unaondoka na mkwanja wa maana. Usisubiri upitwe na bahati hii ya leo. Tengeneza jamvi lako hapa. Ligi kuu ya Ufaransa yaani LIGUE 1 leo hii Lyon atakipiga dhidi ya AJ Auxerre ambao walishinda mechi yao iliyopita. Meridianbet wanampa nafasi kubwa ya kushinda mwenyeji akiwa…

Read More

40 LUCKY SEVENS BABA LAO

Tukisema mchezo wa Kasino wa 40 Lucky Sevens ndio Baba lao tunamaanisha kwakua mchezo huu kwa kipindi kifupi umezalisha washindi mbalimbali, Huku wakiwa wameshinda vitita vizito hii ikionesha ukubwa wa mchezo huu na namna umewavutia watu cheza leo uibuke na mkwanja. 40 Lucky Sevens ni mchezo wa sloti kutoka kasino ya mtandaoni kutoka kwa mtoa…

Read More

EL CLASICO NA MECHI ZINGINE KUKUTAJIRISHA LEO

Je unataka utajiri leo?. Chimbo ni moja tuu napo ni Meridianbet ambapo hapa ndio sehemu sahihi ya wewe kupiga pesa za maana kwa dau lako dogo tuu unatimiza ndoto zako. Leo hii ligi kuu ya Ufaransa LIGUE 1 kuna mechi za maokoto Angers kukipiga dhidi ya AS Saint- Etienne ambao walipigika mchezo wao uliopita wakati…

Read More

YANGA KAZINI LEO UGENINI MBELE YA COASTAL UNION

YANGA kwenye kibarua kizito leo Uwanja wa Sheikh Amri Abeid, Arusha kusaka pointi tatu muhimu dhidi ya Coastal Union ya Tanga. Ipo wazi kwamba Yanga baada ya kucheza mechi 6 mfululizo haijapoteza wala kufungwa na ilicheza Kariakoo Dabi Oktoba 19 ubao wa Uwanja wa Mkapa ukasoma Simba 0-1 Yanga na mchezo uliopita ilikuwa Uwanja wa…

Read More

VITA YA SIMBA NA NAMUNGO BADO HAIJAISHA

ILIKUWA ni vita yenye mwendelezo wa msako wa pointi tatu ndani ya uwanja ambapo kila timu ilipambana kuonyesha ubora wake dakika 90 mwanzo mwisho licha ya ushindi bado haijaisha kwa kuwa kuna mzunguko wa pili unakuja. Simba imekuwa na kawaida ya kutumia dakika 15 za kipindi cha kwanza kupambana kusaka bao la mapema kisha dakika…

Read More

PENALTY ZINAENDELEA KUWAPA WATU MAISHA

Penalty tu zinaendelea kuwapa watu maisha kwani kupitia mchezo wa Beach Penalties watu wanashinda maokoto ya kutosha, Ambapo ni ufanisi wako tu katika kupiga penalty na kufunga ndio kunakupa mkwanja. Umahiri wako wa kupiga mikwaju ya Penalty ndio inaweza kukufanya ukaondoka na mamilioni kupitia mchezo huu pendwa kwasasa, Kwani utapaswa kupiga penalty zako tano na…

Read More

HII HAPA RATIBA LIGI KUU BARA

LIGI Kuu Tanzania Bara inatarajiwa kuendelea kwa mara nyingine tena mzunguko wa kwanza msimu wa 2024/25 ambapo kuna viwanja vitatu vitakuwa kwenye mtafutano wa pointi tatu. Ikumbukwe kwamba mabingwa watetezi wa ligi ni Yanga wao watakuwa na kazi Oktoba 26 kusaka pointi tatu dhidi ya Coastal Union ya Tanga. Oktoba 25 2025 hizi hapa mechi…

Read More