Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Juni 8,2024
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Juni 8,2024
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Juni 8,2024
Aliyewahi kuwa kocha mkuu wa klabu ya Simba SC Patrick Aussems ametambulishwa ndani ya kikosi cha Singida Black Stars SC kwa mkataba wa mwaka mmoja wa kuwa Kocha Mkuu wa timu hiyo msimu wa 2024/25. Patrick Aussems alifahamika kwa utani jina la (UCHEBE) wakati anaitumikia klabu ya Simba na aliitumikia klabu ya Simba SC kuanzia…
Kamati ya Utendaji ya Young Africans SC chini ya Rais Eng.Hersi Said leo tarehe 07/06/2024 imefanya kikao maalumu cha maandalizi ya Mkutano mkuu wa Wanachama (Annual General Meeting – AGM) kilichofanyika katika ukumbi wa Urban By City Blue, Masaki Jijini Dar Es Salaam.
Wakubwa wote leo wako dimbani na wamejiandaa kukutajirisha kazi ipo kwako wewe mteja wa meridianbet kusuka jamvi na kubeti mechi zako za ushindi. Usisubiri kupitwa na maokoto hapa. Simba wa Atlasi, Morocco ambao walifanya vizuri kombe la Dunia 2022, lakini wakafeli Afcon wao watakuwa na kibarua dhidi ya Zambia ambao wapo nafasi ya pili. Simba…
Meridianbet Kasino ya Mtandaoni inakukaribisha kwenye Shamba la Furaha! Furahia wakati mzuri ambao haujawahi kuwa nao kabla. Kutana na mkulima mwenye furaha na wanyama wake na upate bonasi za kasino za kustaajabisha! Ni wakati wa kuanza safari isiyo na mipaka! Fortune Farm ni mchezo mzuri wa kasino ya Mtandaoni kutoka Expanse Studios! unapocheza mchezo huu…
BAADA ya Simba kugotea nafasi ya tatu msimu wa 2023/24 na pointi zake 69 kibindoni benchi la ufundi limebainisha kuwa kuna maboresho makubwa yanakuja hivyo timu mpya inasukwa kwa ajili ya kurejea kwenye ushindani. Ikumbukwe kwamba ni Juma Mgunda, Kocha Mkuu wa Simba alibeba mikoba ya Abdelhak Benchikha aliyebwaga manyanga huku mchezo wake wa mwisho…
MENEJA wa Aziz KI afunguka mazito ndani ya Championi Ijumaa lipo mtandaoni.
AMEINGIA kwenye orodha ya nyota watakaokutana na THANK You ndani ya Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu Miguel Gamondi
WAWAKILISHI wa Tanzania kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika, Azam FC inayonolewa na Kocha Mkuu, Yusuph Dabo wamemalizana na mtambo wa mabao kutoka Mashujaa kwa ajili ya changamoto mpya ndani ya timu hiyo. Ikumbukwe kwamba msimu wa 2023/24 Azam FC ilimaliza ligi ikiwa nafasi ya pili na pointi 69 baada ya kucheza mechi 30 itapeperusha bendera…
Taarifa za kuaminika kutoka ndani ya klabu ya Soka ya Simba ni kwamba, wajumbe wote wa bodi ya wakurugenzi kutoka upande wa Mwekezaji Mohamed Dewji ni kwamba wanadaiwa kujiuzuru huku sababu ikiwa haijulikani Taarifa zinadai kuwa wajumbe wote wamejiuzuru kasoro mwenyekiti wa Bodi hiyo Salim Abdallah ‘Try Again’, huku tasrifa zikisema amegoma kufanya hivyo Bado…
Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Zuhura Yunus kuwa Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Kabla ya Uteuzi, Zuhura alikuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais – Ikulu
Shirikisho la Kimataifa wa Miguu (FIFA) limeiondolea Yanga adabu ya kufungiwa kusajili wachezaji baada ya klabu hiyo kurekebisha upungufu uliojitkeza katika Uhamisho wa wachezaji.
Leo hii Senegal, DR Congo, Mali, Egypt na timu nyingine kibao zinashuka dimbani kusaka pointi tatu kwaajili ya kujiandaa na Kombe la Dunia 2026. Nani unamdhamini kukupatia maokoto?. Suka jamvi lako na merdiainbet sasa. Senegal yenye kikosi cha ushindi kitakuwa dimbani kukiwasha dhidi ya DR Congo. Timu hiyo ina wachezaji wazoefu na ambao wanacheza ligi…
INGIZO jipya ndani ya kikosi cha Azam FC mguu wake wa dhahabu ni ule wa kulia kutokana na kasi yake kuwa katika ubora ndani ya uwanja. Nyota huyo alikuwa akipambana na mwamba Aziz Ki kwenye kutupia mabao uwanjani na mwisho msimu wa 2023/24 ikajulikana kuwa mkali ni Aziz Ki ambaye alitupia mabao 21 akiwa ni…
MWAMBA Aziz Ki ana balaa ndani ya uwanja kutokana na kasi yake kuzidi kuwa imara katika uwanja kila wakati. Rekodi zinaonyesha kuwa amefunga jumla ya mabao 30 ndani ya ligi tangu alipotua Yanga msimu wa 2022/23 na sasa ni 2023/24. Ni mabao 9 alifunga msimu wake wa kwanza na msimu wa 2023/24 katupia mabao 21…
MABINGWA wa Ligi Kuu Bara msimu wa 2023/24 Yanga inayodhaminiwa na SportPesa ipo kwenye hesabu za kuwaacha baadhi ya mastaa ambao hawajafanya vizuri na wengine watasepa baada ya kandarasi zao kugota mwisho. Miongoni mwa wale ambao wanatajwa kwamba hawatakuwa ndani ya kikosi hicho ni Metacha Mnata, Skudu, Joyce Lomalisa.
KWENYE funga kazi ya msimu wa 2023/24 ndani ya kikosi cha Simba kinachonolewa na Kocha Mkuu Juma Mgunda mwamba wa kazi Saido Ntibanzokiza alikiwasha. Pengine kazi yake ingekuwa hivyo tangu mwanzo wa msimu alikuwa na nafasi ya kuvunja rekodi yake ya msimu wa 2022/23 kwa kutupia mabao 17 lakini upepo ulikuwa tofauti. Kiungo mshambuliaji wa…