SINGIDA BLACK STARS YAIPIGA MKWARA SIMBA

UONGOZI wa Singida Black Stars umeweka wazi kuwa upo tayari kuelekea mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Simba, Desemba 28 2024 wanachohitaji ni pointi tatu muhimu. Singida Black Stars baada ya kucheza mechi 15 imepata ushindi kwenye 10 ikiambulia sare katika mechi 3 na kupoteza ni mechi mbili pekee ndani ya msimu wa 2024/25….

Read More

RATIBA YA LIGI KUU BARA BONGO

HII hapa ratiba ya Ligi Kuu Tanzania Bara ambayo ushindani wake unazidi kuwa mkubwa kila iitwapo leo ndani ya uwanja. Desemba 27 2024 Azam FC v JKT Tanzania, saa 1:00 usiku itakuwa Uwanja wa Azam Complex. Desemba 28 2024 Singida Black Stars v Simba, saa 10:00 jioni, itakuwa Uwanja wa Liti. Dodoma Jiji v Mashujaa,…

Read More

FURAHIA MWAKA MPYA NA MKWANJA WA KUTOKA SHINDANO LA EXPANSE

Unaweza kuufungua mwaka kibabe kabisa kwa kushinda kitita cha milioni moja kupitia shindano la Expanse linalohusisha michezo ya kasino, Cheza michezo ya kasino ya Expanse kupitia Meridianbet uweze kuufungua mwaka shangwe. Meridianbet wamekuja na shindano la michuano ya kasino inayofahamika kama shindano la mabingwa ambapo mshindi ataondoka na kitita cha milioni moja taslimu, Shindano hili…

Read More

YANGA YATEMBEZA 4G MBELE YA DODOMA JIJI

MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga wamegawa dozi ya 4G kwenye mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara inayodhaminiwa na NBC Bank. Ni Merry Christmas 2024 ambapo Dodoma Jiji ni mashuti matatu pekee yaliyopigwa na kulenga lango huku Yanga mashuti matano na manne yalijaa nyavuni. Baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Jamhuri,…

Read More

KIKOSI CHA YANGA DHIDI YA DODOMA JIJI

HIKI hapa kikosi cha Yanga dhidi ya Dodoma Jiji, mchezo wa Ligi Kuu Bara, Uwanja wa Jamhuri Dodoma:- Aboutwalib Mshery Kibwana Shomari Kibabage Job Bacca Aucho Mzize Mudathir Dube Aziz Ki Pacome Akiba:-Khomein, Kassim, Nondo, Boka, Mkude, Nkane,, Sureboy, Abuya,, Farid, Shekhan Imeandikwa na Lunyamadzo Mlyuka, Mtunzi kitabu cha Ganzi ya Maumivu Kwenye Upendo, kukipata…

Read More

SIMBA YATOA ZAWADI YA CHRISTMAS MAPEMA

SIMBA imeibuka na ushindi wa bao 1-0 JKT Tanzania katika mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa Uwanja wq KMC, Complex. Ni zawadi ya Christmas mapema leo Desemba 24 ambapo Wakristo duniani watakuwa kwenye ibada ya Usiku Mtakatifu na Christmas itakuwa Desemba 25, siku ya kufungua zawadi ni Desemba 26. Bao la ushindi limefungwa na Jean…

Read More

KIKOSI CHA JKT TANZANIA DHIDI YA SIMBA

JKT Tanzania inatarajiwa kushuka Uwanja wa KMC, Complex kusaka pointi tatu muhimu dhidi ya Simba. Mchezo uliopita JKT Tanzania iligawana pointi mojamoja na Namungo. Hiki hapa kikosi cha kazi cha JKT Tanzania kipo namna hii:- Yakoub Suleman, Salum Salum, Wilson Nagu, Said Hamis, Brayson David. Hassan Kapalata, Najim Maguru, Edson Kataga, Gamba Matiko, Shiza Ramadhan,…

Read More

HIKI HAPA KIKOSI CHA SIMBA DHIDI YA JKT TANZANIA

VINARA wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Simba wanatarajiwa kushuka Uwanja wa KMC, Complex kusaka pointi tatu dhidi ya JKT Tanzania ambao nao wanazihitaji pia pointi hizo muhimu. Hiki hapa Kikosi cha Simba inayonolewa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids kipo namna hii:- Moussa Camara, Shomari Kapombe, Valentino Nouma, Che Malone, Abdulazack Hamza, Fabrice Ngoma. Elie Mpanzu,…

Read More

ARNE SLOT NI TUNU NDANI YA LIVERPOOL

Je unajua kwasasa mashabiki wa Liverpool ndio mashabiki wenye furaha zaidi Ulimwenguni?. Kama hujui basi ni hivi kalbu hiyo ndio klabu pekee ambayo ipo kileleni kwenye ligi kuu ya Uingereza na kwenye UEFA. Mpaka sasa kufikia Desemba 24 klabu ya Liverpool FC imeendelea kufanya vizuri chini ya uongozi wa kocha mkuu mpya Arne Slot, ambaye…

Read More

YANGA YAIPIGIA HESABU DODOMA JIJI

 KOCHA Mkuu wa Yanga, Sead Ramovic amesema kuwa hesabu kubwa ni kupata matokeo mazuri kwenye mchezo wao ujao wa Ligi Kuu Bara ambao unatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa ndani ya dakika 90 za kazi. Mchezo uliopita Yanga iliibuka na ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya Tanzania Prisons mchezo uliochezwa Uwanja wa KMC Complex ambapo Prince…

Read More

SIMBA V JKT TANZANIA TAMBO ZATAWALA

BAADA ya kutoka kuvuna pointi tatu mbele ya Kagera Sugar katika mchezo uliochezwa Uwanja wa Kaitaba Desemba 21 na ubao kusoma Kagera Sugar 2-5 Simba leo watakuwa na kibarua cha kusaka pointi tatu dhidi ya JKT Tanzania. Simba inakutana na JKT Tanzania ambayo mchezo wao uliopita ilikuwa ugenini dhidi ya Namungo, baada ya dakika 90…

Read More

AZAM FC KAZI IMEANZA HUKO

UONGOZI wa Azam FC umeweka wazi kuwa kwenye dirisha dogo la usajili itafanya usajili wa maana kutokana na mahitaji ya benchi la ufundi hivyo mashabiki wawe na subira kila kitu kipo kwenye mpango. Azam FC kwenye msimamo baada ya kucheza mechi 15 imekusanya pointi 33 ipo nafasi ya tatu vinara ni Simba wenye pointi 34…

Read More

HAJI MANARA ATIBUA, AONYWA NA JESHI LA MAGEREZA

JESHI la Magereza Tanzania limemuonya Mwanachama wa klabu ya Yanga Sc, Haji Sunday Manara kwa kauli isiyo ya kiungwana yenye viashiria vya kutweza utu na yenye mwelekeo wa kulifedhehesha Jeshi hilo aliyotoa baada ya mchezo kati ya Yanga Sc dhidi ya Wajelajela, Tanzania Prisons katika dimba la KMC Complex. Taarifa ya leo Desemba 23 iliyotolewa…

Read More