
MTAMBO WA MABAO WAPIKWA UPYA SIMBA
MTAMBO wa mabao ndani ya Simba inayonolewa na Kocha Mkuu, Roberto Oliveira unaendelea kupikwa upya kwa ajili ya mechi zilizobaki za Ligi Kuu Bara. Timu hiyo ikiwa imegotea nafasi ya pili na pointi zake 67 ina kete mbili za kukamilisha mzunguko wa pili ndani ya ligi msimu wa 2022/23 vinara wakiwa ni Yanga. Mbali na…