
YANGA SC:TUNARUDI NA KOMBE,MATOLA APEWA UBOSI SIMBA
YANGA SC: Tunarudi na kombe, Matola apewa ubosi Simba ndani ya Spoti Xtra Alhamisi
YANGA SC: Tunarudi na kombe, Matola apewa ubosi Simba ndani ya Spoti Xtra Alhamisi
KLABU ya Sevilla imefanikiwa kuongeza rekodi ya taji la saba la Ligi ya Europa baada ya kuwalaza Roma 4-1 katika mikwaju ya penalti kwenye Uwanja wa Puskas Arena mjini Budapest. Gonzalo Montiel huyu alifunga penalti ya ushindi kwa Argentina katika fainali ya Kombe la Dunia, alifunga mkwaju huo wa kuamua. Wataalamu hao wa Ligi ya…
MKUU wa Programu za Vijana wa kikosi cha Simba, Patrick Rweyemamu amesema kuwa ili kufikia malengo kwenye anga la michezo ni lazima kuwepo na uwekezaji kwa vijana. Miongoni mwa vijana waliopita ndani ya Simba ni pamoja na Ibrahim Ajibu aliyepata nafasi ya kucheza Yanga, Jonas Mkude, Said Ndemla hawa walikuwa wanatajwa kuwa kwenye hesabu za…
UONGOZI wa Simba umebainisha kuwa utakuja kivingine ndani ya msimu mpya wa 2023/24 kwa kuleta wachezaji wenye sifa ya ushindani na kutafuta matokeo bila kukata tamaa. Katika anga la kimataifa wamegotea hatua ya robo fainali Ligi ya Mabingwa Afrika na watani zao wa jadi Yanga wapo hatua ya fainali Kombe la Shirikisho Afrika. Kwenye ligi…
LICHA ya kupoteza mchezo wa kwanza wa fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika Jumapili Mei 28,2023 ubao wa Uwanja wa Mkapa uliposoma Yanga 1-2 USM Alger, jina la mshambuliaji Fiston Mayele lipo mikononi mwa Waarabu. Juni 3,2023 mchezo wa fainali ya pili unatarajiwa kuchezwa na mshindi wa jumla atasepa na taji hilo kubwa Afrika. Mayele…
KOCHA Mkuu wa Namungo FC Dennis Kitambi amesema kuwa wanaimani kubwa ya kupata matokeo mazuri kwenye mchezo ujao wa ligi dhidi ya Dodoma Jiji Timu ya Namungo mchezo wake uliopita ilishinda mbele ya Azam FC kwa mabao 2-1 mchezo uliochezwa Uwanja wa Azam Complex. Inatarajiwa kucheza na Dodoma Jiji, Juni 6 Uwanja wa Majaliwa ikiwa…
NYOTA wa Azam FC, Abdul Suleiman Sopu anatarajiwa kurejea kwa mara nyingine tena ndani ya Tanga, Uwanja wa Mkwakwani kupambania uzi wa timu yake dhidi ya Yanga. Sopu aliibuka ndani ya Azam FC akitokea Coastal Union na kwa sasa yupo zake ndani ya Azam FC akipambania majukumu yake. Azam FC itapambana na Yanga kwenye mchezo…
NABI Mafia afanya mabadiliko kikosini, Azam yaitibulia Simba SC kwa kiungo katili ndani ya Championi Jumatano
LEGEND kwenye masuala ya michezo kitaifa na kimataifa Saleh Jembe amewekwa wazi kuwa Yanga walikosa ubunifu kwenye mchezo dhidi ya USM Alger uliochezwa wa Mkapa Mei 28,2023. Jembe amesema kuwa Yanga bado hawajamaliza mchezo na wana uwezo wa kupata ushindi kwenye mchezo wa pili ikiwa watafanya maandalizi mazuri huku akiweka wazi kuwa kama angeulizwa nani…
INAELEZWA kuwa Chelsea wamefanya mazungumzo juu ya kumsajili kiungo wa Sporting Lisbon Manuel Ugarte kwa ajili ya kupata saini yake. Nyota huyo dau lake linatajwa kuwa na kipengele cha kuachiliwa kwa gharama ya Pauni 60. Mkataba wa Ugarte unamalizika 2026 na Kocha Mkuu wa Sporting Ruben Amorim amekiri itakuwa vigumu kuwabakisha wachezaji kama Ugarte kufuatia…
MASTAA wa Azam FC wameendelea na program maalumu kwa ajili ya kuwakabili wapizani wao Wagosi wa Kaya, Coastal Union kwenye mchezo wao ujao wa ligi. Kwenye uwanja huo Azam FC wanatarajiwa pia kucheza mchezo wa fainali ya Azam Sports Federation dhidi ya Yanga mchezo unaotarajiwa kuchezwa Juni 12. Yanga ni mabingwa watetezi walitinga fainali kwa…
WAARABU waondoka na Mayele, Chama ataja kilichowaponza ndani ya Spoti Xtra Jumanne
LEGEND kwenye masuala ya michezo ardhi ya Tanzania anga za kitaifa na kimataifa Saleh Jembe amezungumzia kuhus mchezo wa Yanga dhidi ya USM Alger uliochezwa Uwanja wa Mkapa Mei 28,2023. Ilikuwa ni fainali ya kwanza kwa Yanga na ubao ulisoma Yanga 1-2 USM Alger, kwenye mchezo huo hali ya hewa ilkuwa ni mvua jambo ambalo…
ROBERTO Oliveira, Kocha Mkuu wa Simba ameweka wazi kuwa anahitaji kupata viungo wengine wawili wa kazi kwenye kikosi hicho ili kuongeza ushindani wa namba. Timu hiyo imepishana na ubingwa ambao umekweda kwa watani zao wa jadi Yanga. Sifa za nyota ambao anawahitaji ni kama ilivyo kwa kiungo mshambuliaji Sadio Ntibanzokiza mwenye mabao 10 na pasi…
KOCHA Mkuu wa Manchester United, Erik ten Hag amesema kwamba Manchester United lazima wawekeze ikiwa wanataka kusalia katika nafasi nne za juu za Premier League. Ten Hag ameirudisha United kwenye Ligi ya Mabingwa kwa mara ya kwanza huku pia akishinda Kombe la Carabao. Lakini kocha huyo alikuwa na wachezaji watatu pekee waliosajiliwa kwa mkopo katika…
BAADA ya kupoteza kwa kushuhudia ubao wa Uwanja wa Mkapa ukisoma Yanga 1-2 USM Alger kwenye hatua ya kimataifa mashabiki wameweka wazi kuwa bado kuna dakika 90 za ugenini ambazo watapambana kupata ushindi. Yanga inakwenda kupambana Juni 3,2023 huku wakiweka wazi kuwa Fiston Mayele anaweza kwenda kufunga mabao saba mpaka 9
MAISHA ya mpira yanahitaji umakini mkubwa kwa kila mmoja kupambana kutimiza malengo ambayo yapo kwenye timu husika na inawezekana licha ya kwamba msimu unakaribia kufika ukingoni. Tumeona kwamba kila timu imefanya kazi yake kwa kupambana kufikia malengo na wapo ambao walikwama na wengine wanasubiri mpaka mechi mbili za mwisho kukamilisha hesabu huku Yanga wakiwa wametwaa…