AZAM FC YAZITAKA POINTI TATU ZA GEITA GOLD

MATAJIRI wa Dar Azam FC wanazipigia hesabu pointi tatu za Geita Gold kuelekea mchezo wao ujao wa Ligi Kuu Bara. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Februari 16 Uwanja wa Azam Complex. Yusuph Dabo, Kocha Mkuu wa Azam FC mchezo wake uliopita ilikuwa ni kiporo ambapo waligawana pointi mojamoja na Simba. Katika mchezo huo baada ya dakika…

Read More

KOCHA WA CHELSEA KUCHUKUA MIKOBA YA XAVI BARCELONA

Kocha wa zamani wa Chelsea Thomas Tuchel ambaye kwa sasa anainoa Bayern Munich yupo kwenye orodha ya makocha wanaopigiwa upatu kuchukua mikoba ya Xavi Hernandez kunako klabu ya Barcelona. Itakuwa mnamo Januari 27, 2024 kufuatia kipigo cha 5-3 dhidi ya Villarreal, Xavi alifichua kuwa ataondoka Barcelona mwisho wa msimu huu.

Read More

Title:PIGA MKWANJA WA KUTOSHA LEO KUPITIA UEFA

Wewe mwana Meridianbet leo unaweza kuifanya sikukuu yako ya wapendanao kua ya kipekee pale tu ambapo utaweka mkwanja na kubashiri michezo ya ligi ya mabingwa ulaya ambayo itakwenda kupigwa usiku wa leo. Leo kutakua na michezo mikali kwenye ligi ya mabingwa ulaya ambapo klabu ya Lazio itakua nyumbani kuwakaribisha miamba ya soka kutoka nchini Ujerumani…

Read More

SIMBA YATUMA UJUMBE HUU KWA WAJEDA JKT TANZANIA

UONGOZI wa Simba umebainisha kuwa hesabu kubwa kwa sasa ni kuelekea mchezo wao ujao wa Ligi Kuu Bara dhidi ya JKT Tanzania unaotarajiwa kuwa na ushindani mkubwa. Ipo wazi kwamba mchezo uliopita Simba ilikuwa ugenini ilivuna pointi tatu dhidi ya Geita Gold kwa bao la Babacarr Sarr dakika ya 81 kwenye mchezo huo akitumia pasi…

Read More

KIJANA ASHINDA JACPOT YA BILIONI KUTOKA SPORTPESA

KAMPUNI ya Michezo na Burudani SportPesa imemtangaza mshindi wa Jackpot ya shilingi 265,780,681 TZS David Mwenge Nyantora (27). David ambaye ni mwajiriwa alibashiri kwa usahihi mechi 13 kati ya 13 kwenye mechi za Supa Jackpot ambayo inamgawanyiko wa Jackpot za mechi 17,16,15,14 na 13 iliyopata mshindi. Akimtangaza mshindi huyo wa awamu ya kumi Mwenyekiti wa…

Read More

KIPA WA KAZI AREJEA YANGA

KIPA wa kazi ndani ya Yanga Djigui Diarra amerejea ndani ya kikosi hicho baada ya kuwa kwenye majukumu mengine ya timu ya taifa. Tayari Diarra ambaye ni kipa namba moja wa Yanga yupo kambini na kikosi hicho baada ya kuwa kwenye majukumu ya timu ya Taifa lake la Mali iliyoshiriki michuano ya Kombe la Mataifa…

Read More

TABORA UNITED YAINGIA CHIMBO KUIWINDA AZAM FC

WAKALI kutoka Tabora, kikosi cha  cha  Tabora United  kimeanza maandalizi kwa ajili ya mzunguko wa pili wa Ligi Kuu ya NBC Soka Tanzania Bara ambapo mchezo wao ujao itakuwa dhidi ya Azam FC. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Februali 19 2024 katika Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi, Mjini Tabora. Kikosi hicho cha nyuki wa Tabora kimeanza…

Read More

Mchezo wa Kasino Wenye Jackpot Kubwa Upo Meridianbet

Hatimaye Meridianbet Kasino Mtandaoni imekuja na mchezo mwingine wa matunda ambao kiukweli kama ukianza kucheza huwezi kujutia muda wako, mchezo huu wa 20 Imperial Crown utakupatia bonasi kibao na faidia kubwa sana ya dau lako unalocheza. 20 mperial Crown Deluxe Sifa Zake 20 Imperial Crown Deluxe kasino mtandaoni wenye safu tano zilizopangwa katika mistari mitatu…

Read More