SANKARA APIGA SIMU YANGA, STRAIKA MCOLOMBIA MLANGONI SIMBA
SANKARA apiga simu Yanga, Straika Mcolombia mlangoni Simba SC ndani ya Championi Ijumaa
SANKARA apiga simu Yanga, Straika Mcolombia mlangoni Simba SC ndani ya Championi Ijumaa
NDANI ya Ligi Kuu Bara kuna makocha ambao waliomba kuondoka kwenye timu zao kwa kuandika barua na wengine walikutana na Thank You kutokana na kufikia makubaliano ya kusitisha mkataba na timu ambazo walikuwa wakizifundisha kisha maisha yakaendelea. Ni msimu wa 2023/24 ambao umekuwa na matukio mengi yanayoendelea hapa tunakuletea baadhi ya makocha ambao walikutana na…
MIGUEL Gamondi Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa wachezaji wake wote ni muhimu kuongeza juhudi kwenye mechi ambazo wanacheza ili kupata matokeo. Timu hiyo kwenye msimamo ni namba mbili na funga 2023 ilikuwa Uwanja wa Jamhuri,Dodoma baada ya dakika 90 ubao ulisoma Tabora United 0-1 Yanga na bao likifungwa na Aziz KI. Aziz KI anafikisha…
Azam FC imetangaza mshambuliaji mpya kutoka Colombia, Franklin Navarro (24) ambaye amejiunga na timu yake hiyo mpya akitokea Cortuluá FC ya nchini kwao. Navarro anakuwa mchezaji wa kwanza kusajiliwa na Azam FC katika dirisha hili dogo la usajili.
Subiri yavuta heri na hii imetokea leo kwani baada ya Meridianbet kuzunguka sehemu mbalimbali kutoa msaada, Hatimae leo wakazi wa eneo la Mbagala Rangi Tatu wamefikiwa na kupata msaada kutoka kwa wakongwe hao wa michezo ya kubashiri. Mabingwa hao wa michezo ya kubashiri wamefika Mbagala Rangi tatu na kutoa msaada wa kwa wajasiriamali wa eneo…
BENCHI la ufundi la JKT Tanzania limeweka wazi kuwa palipo na mapungufu watafanyia maboresho kwenye usajili katika dirisha dogo ili kuwa imara zaidi. Desemba 18 ubao wa Uwanja wa Azam Complex ulisoma JKT Tanzania 0-1 Coastal Union walipoyeyusha pointi tatu wakiwa nyumbani. Kocha Mkuu wa JKT Tanzania, Malale Hamsini amesema kuwa ushindani kwenye ligi ni…
INAELEZWA kuwa aliyemleta Maxi Nzengeli ndani ya Yanga anamleta mshambuliaji wa mabao ndani ya kikosi hicho ili awe mbadala wa Fiston Mayele ambaye mpaka sasa bado mbadala wake sahihi hajapatikana ndani ya kikosi cha Yanga kinachonolewa na Miguel Gamond.
KUNA wakali ndani ya Bongo ambao mapema walikamilisha mpago kazi wa kutoa zawadi kwa mashabiki wao katika mechi za ushindani ambazo walicheza. Ipo wazi kuwa Azam FC ni namba moja kwenye msimamo huku wakifuatiwa na Yanga na namba tatu ni Simba.
RASMI Uwanja wa Amaan Complex umefanyika baada ya maboresho makubwa yaliyofanywa katika kuboresha uwanja huo ambao kwa sasa unaingia kwenye hadhi nyingine. Kwenye uzinduzi huo ambao ulikuwa ni wa kihistoria wengi walihudhuria kushuhudia na wengine kutazama mubashara kupitia Azam TV. Burudani mbalimbali zilifanyika ikiwa ni pamoja na mchezo maalumu wa ufunguzi wa Uwanja wa Amaan…
Hupaswi kukaa kinyonge kipindi hichi cha sikukuu kwani mabingwa wa michezo ya kubashiri kampuni ya Meridianbet wanahakikisha unakua moja ya watu watakaoifurahia sikukuu kwa kupiga mkwanja wa kutosha. Kupitia michezo mbalimbali ambayo itakwenda kupigwa leo katika ligi kuu ya Uingereza kampuni ya Meridianbet imemuwekea mteja wake Odds nzuri, Hivo mteja atatakiwa kuweka mkeka wake tu…
BENKI ya NMB imetoa zaidi ya shilingi milioni 200 kwa ajili ya zawadi za mashindano ya kombe la mapinduzi Zanzibar na Traki suti 150 kwa ajili ya kuvaa kwenye matembezi siku ya Mapinduzi. Fedha hizo kwa ajili ya bingwa ambaye atazoa shilingi milioni 100 mshindi wa pili milioni 70, pamoja na medali za mabingwa na…
MASTAA wa Simba kwenye upande wa ushambuliaji ikiwa ni Jean Baleke, John Bocco na viungo Saido Ntibanzokiza watakutana na balaa la Kocha Mkuu, Abdlehak Benchikha kutokana na kushindwa kuzitumia nafasi ambazo walizipata kwenye mechi dhidi ya KMC. Desemba 23 ikiwa ni mchezo wa mwisho kwa Simba ndani ya 2023 katika Ligi Kuu Bara walishuhudia ubao…
MWANDISHI WETU KOCHA Mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi, amesema ili Yanga imalize tatizo la straika ndani ya kikosi hicho, wanapaswa kumnunua mchezaji wa eneo hilo mwenye thamani ya shilingi bilioni 2.5. Gamondi ametoa kauli hiyo baada ya kuwepo kwa maswali mengi juu ya uwezo wa washambuliaji wa Yanga katika kufunga mabao ambapo hivi sasa timu…
Kabla sijakupa kisa cha miungu ya Kigiriki hususani mungu Zeus, unapaswa kuelewa kwamba kwa kutambua historia ya kale hususani ya Taifa la Ugiriki, Meridianbet kupitia michezo ya kasino ya mtandaoni imekuletea mchezo wenye kubeba historia ya Kigiriki unaitwa Magnificient Power Zeus. Mchezo huu wa Kasino ya Mtandaoni upo upande wa sloti ya mtandaoni wenye njia…
WAKATI mwingine tena umefika ikiwa ni maalumu kwa ajili ya kufungua zawadi kwa ndugu jamaa na marafiki kwa lugha ya kigeni ni Happy Boxing Day kwenye anga za michezo kuna wale waliotoa zawadi mapema kwa kufunga mabao mengi. Hapa tunakuletea timu sita ambazo zinasafu kali kwenye upande wa ushambuliaji namna hii:- Azam FC mabao 35…
WAKUSANYA mapato wa Kinondoni sio kinyonge ndani ya 2023 licha ya kuanza msimu kwa kuwa timu iliyotunguliwa mabao mengi ikiwa ugenini. Ipo wazi kwamba mchezo wa kwanza kwa timu kufungwa mabao mengi ilikuwa ni ule uliowakutanisha Yanga 5-0 KMC mchezo uliochezwa Uwanja wa Azam Complex. Inafunga 2023 ikiwa kwenye tano bora na mchezo wake uliopita…
INAELEZWA kuwa Simba ipo kwenye mpango mkubwa wa kufanyia maboresho kikosi hicho ambapo inakwenda kuongeza viungo na washambuliaji.Miongoni mwa nyota ambaye anatajwa kupewa dili la miaka mitatu ni kutoka viunga vya Mtibwa Sugar Chasambi. Ikiwa dili lake litakamilika atakuwa mchezaji wa kwanza kutambulishwa unyamani.