MORRISON KUPEWA KAZI MAALUMU KWA AJILI YA YANGA

KUFUATIA kutokuwepo kwenye mipango ya mchezo wa marudiano wa robo fainali dhidi ya Orlando Pirates, benchi la ufundi la Simba limepanga kumuachia programu maalum kiungo mshambuliaji wao Mghana, Bernard Morrison kuhakikisha anakuwa sawa kwa ajili ya mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Yanga utakaopigwa Aprili 30, mwaka huu. Simba wanatarajia kuvaana na Orlando Jumapili…

Read More

TANZANIA BADO INA KAZI KUBWA YA KUFANYA AFCON

BAADA ya kupangwa kwenye hatua ya makundi ya kufuzu Afcon ikiwa kundi F, mwandishi wa masuala ya michezo Tanzania, Marco Mzumbe amesema kuwa kuna kazi kubwa ya kufanya kwa Tanzania. Ni kundi F ambalo Tanzania imepangwa ikiwa na timu za Algeria,Uganda na Niger ikiwa ni kwa ajili ya kufuzu AFCON 2023. Mzumbe amesema ukiwatazama Algeria…

Read More

NJOMBE MJI YAPOTEZA MBELE YA RHINO RANGERS

KLABU ya Njombe Mji leo Aprili 19 imepoteza kwa kufungwa bao 1-0 dhidi ya Rhino Rangers katika mchezo wa 8 bora. Mtupiaji Ibrahim Mdaki alitumia mtindo wa kupekecha kama Pape Sakho wa Simba kushangilia na kuimaliza mazima Njombe Mji. Katika mchezo mwingine wa kundi A ilishuhudiwa Alliance FC wakitoshana nguvu na Tunduru Korosho.  Baada ya…

Read More

SIMBA KUTINGA CAF KISA KOCHA ORLANDO PIRATES

BREAKING:Klabu ya Simba leo Aprili 19 imetoa taarifa ya kuhusu malalamiko ya uongo ya Kocha Mkuu wa Orlando Pirates, Mandla Nickazi alizotoa baada ya mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika ambapo Orlando Pirates ilipoteza kwa kufungwa bao 1-0. Taarifa hiyo imeeleza kwamba Simba imechukizwa na maneno ya kashfa yaliyotolewa na kocha huyo ambayo yanatabaisha ukosefu…

Read More

YANGA WANARUDI KAZINI KUSAKA POINTI ZA NAMUNGO

KIKOSI cha Yanga kinachonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi kinatarajiwa kushuka uwanjani Aprili 23 kusaka pointi tatu dhidi ya Namungo FC. Ni mchezo wa ligi ambapo utakuwa ni wa mzunguko wa pili baada ya ule wa awali walipokutana Uwanja wa Ilulu ubao kusoma Namungo 1-1 Yanga. Ofisa Habari wa Yanga, Haji Manara amesema kuwa wapo…

Read More

AHMED:TUKIENDA AFRIKA KUSINI TUNARUDI TUKIWA NUSU FAINALI

BAADA ya kupata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Orlando Pirates kwenye mchezo wa kwanza wa robo fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika, Simba SC wamesema wanakwenda Afrika Kusini kumalizia kazi. Jumapili Aprili 17, Simba iliibuka na ushindi huo katika Uwanja wa Mkapa, Dar, Jumapili ijayo watarudiana nchini Afrika Kusini ambapo mshindi wa jumla atakwenda…

Read More

SIMBA QUEENS YAGOMEA DABI DHIDI YA YANGA PRINCESS

MENEJA wa Simba Queens, Seleman Makanya, amesema kwa sasa hawana tena dabi na Yanga Princess, ni bora wahamie kwa Fountain Gate Princess au JKT Queens. Makanya amekuja na kauli hiyo akiwa na maana kuwa Yanga Princess wameshakuwa wa kawaida, hiyo ni baada ya Ijumaa kufungwa nyumbani na Fountain Gate Princess mabao 2-3 katika mwendelezo wa…

Read More

BEKI YANGA MWAMNYETO ANAWINDWA SIMBA

MENEJA wa Mchezaji wa Yanga Bakari Mwamnyeto aitwaye Kassa Mussa amedai Klabu ya Simba inamsumbua sana juu ya uwezekano wa kumsajili mteja wake ambaye ni mchezaji na nahodha wa Klabu ya Yanga Bakari Mwamnyeto. Mussa amesema kuwa Simba wameweka mezani ofa kubwa mno ya kutaka kumsajili mchezaji huyo na mbali na Simba Mwamnyeto amepata ofa…

Read More

RUVU SHOOTING YATUMA UJUMBE HUU KWA YANGA

MASAU Bwire, Ofisa Habari wa Ruvu Shooting amesema kuwa wakimalizana na Namungo leo kituo kinachofuata ni dhidi ya Yanga. Ruvu Shooting wameomba mchezo wao dhidi ya Yanga uchezwa Uwanja wa Lake Tanganyika,Kigoma na unatarajiwa kuchezwa Mei 4,2022. Masau Bwire amesema kuwa kila mchezo kwao ni muhimu na wanaimani ya kupata pointi tatu kutokana na uimara…

Read More

KOCHA ORLANDO PIRATES AGOMEA USHINDI WA SIMBA

KOCHA wa Orlando Pirates, Mandla Ncikazi amesema Simba imewahujumu kwenye mchezo wao wa kimataifa waliocheza jana Uwanja wa Mkapa. Baada ya dk 90, ubao ulisoma Simba 1-0 Orlando kwenye mchezo wa hatua ya robo fainali ya kwanza uliokuwa na ushindani mkubwa. Kocha huyo amesema:”Kama wameshinda basi kwa penalti ambayo naona kwamba sio sawa kwani walileta…

Read More

KAGERA SUGAR YAGAWANA POINTI NA KMC,KAITABA

KWENYE mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa Uwanja wa Kaitaba Aprili 17 milango ilikuwa migumu kwa timu zote mbili. Baada ya dk 90 ubao wa Uwanja wa Kaitaba ulisoma Kagera Sugar 0-0 KMC. Matokeo hayo yanaifanya Kagera Sugar kufikisha pointi 26 nafasi ya 5 baada ya kucheza jumla ya mechi 20. KMC inafikisha pointi 24…

Read More