KIUNGO RWANDA ATAMANI KUCHEZA NA FEI TOTO YANGA

KIUNGO mkabaji wa Kiyovu ya Rwanda, Mrundi, Ismail Nshimiyimana ‘Pitchou’, amefunguka kuwa, haitakuwa shida kwake kama ikitokea anapata nafasi ya kucheza sambamba na kiungo mshambuliaji wa Yanga, Feisal Salum ‘Fei ToTo’ kutokana na uwezo mkubwa alionao licha ya kuheshimu uwepo wa Mganda, Khalid Aucho. Pitchou ametoa kauli hiyo kufuatia wiki iliyopita kufuatwa na Makamu Mwenyekiti…

Read More

MASTAA SIMBA WAWAFUATA OLRANDO PIRATES

KLABU ya Soka ya Simba imeanza safari Alfajiri ya leo ijumaa 22, 2022 kuelekea nchini Afrika Kusini ambako itakwenda kucheza mechi yake ya marudiano dhidi ya Klabu ya Orlando Pirates ya nchini humo. Simba inakwenda Afrika Kuisni ikiwa na faida ya ushindi wa bao moja ilioupata katika mchezo wa kwanza uliofanyika jijini Dar es Salaam…

Read More

SITA KUSHIRIKI MASHINDANO YA WIKI YA MACHINGA

TIMU sita zitashiriki katika mechi maalumu za kuadhimisha Wiki ya Wamachinga zitakazochezwa kwenye Uwanja wa Karume. Meneja wa Machinga wa Soko la Machinga Complex,Karume,Stellah Othman Mgumia alizitaja timu hizo. Mamlaka ya Mapato Tanzania,(TRA),Pepsi,Shirika la Bima la Taifa,(NIC),Mmalaka ya Chakula na Dawa, (TMDA) na Timu ya Waandishi wa Habari za Michezo,(Taswa). “Ni maandimisho ya kwanza ya…

Read More

SIMBA:HATUTARUDIA MAKOSA,TUTAFUZU NUSU FAINALI

BAADA ya kupata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Orlando Pirates kwenye mchezo wa kwanza wa robo fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika, Simba SC wamesema wanakwenda Afrika Kusini kumalizia kazi na wanaamini kwamba hawatarudia makosa. Jumapili, Aprili 17,Simba iliibuka na ushindi huo katika Uwanja wa Mkapa, Dar, Jumapili ijayo watarudiana nchini Afrika Kusini ambapo…

Read More

SIMBA WAIVUTIA KASI ORLANDO PIRATES

KIKOSI cha Simba kinachonolewa na Kocha Mkuu, Pablo Franco kimeanza kuwavutia kasi wapinzani kimataifa kwa ajili ya mchezo wao wa marudio. Simba ina kazi ya kusaka ushindi ama sare katika mchezo wao ujao dhidi ya Orlando Pirates baada ya ule wa awali ambao ni wa robo fainali ya kwanza kuweza kushinda bao 1-0. Meneja wa…

Read More

MTAMBO WA MABAO SIMBA KUIKOSA ORLANDO PIRATES

MTAMBO wa mabao ndani ya kikosi cha Sima, Bernard Morrison kwenye mechi za kimataifa anatarajiwa kuukosa mchezo wa marudiano dhidi ya Orlando Pirates. Ni mabao matatu ambayo amefunga na kutoa pasi tatu na amesababisha penalti moja hivyo kahusika kwenye mabao 7 kati ya 17 ambayo yamefungwa na timu hiyo  katika mechi za kuanzia hatua ya…

Read More

YANGA YAPANIA KUIVURUGA SIMBA

UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kwamba utawavurugia hesabu za kutwaa pointi tatu Simba watakapokutana Aprili 30 kwa kuwafunga mapema ili kukamilisha hesabu. Vinara hao wa ligi wakiwa na pointi 51 wamewaacha wapinzani wao Simba kwa pointi 10 na timu zote mbili zimecheza mechi 19. Ofisa Habari wa Yanga, Hassan Bumbuli amesema kuwa wanajua kwamba mchezo…

Read More

KMC YAZIPIGIA HESABU POINTI ZA GEITA GOLD

CHRISTINA Mwagala, Ofisa Habari wa KMC amesema kuwa kwa sasa wanafanya maandalizi kwa ajili ya mchezo wao dhidi ya Geita Gold unaotarajiwa kuchezwa Aprili 23,Uwanja wa Nyankumbu.  Mwagala amesema kuwa mchezo wao uliopita walipata pointi hivyo hesabu zao ni kwenye mchezo wao ujao dhidi ya Geita Gold. “Tulicheza usiku mbele ya Kagera Sugar na tulipata…

Read More

MORRISON KUPEWA KAZI MAALUMU KWA AJILI YA YANGA

KUFUATIA kutokuwepo kwenye mipango ya mchezo wa marudiano wa robo fainali dhidi ya Orlando Pirates, benchi la ufundi la Simba limepanga kumuachia programu maalum kiungo mshambuliaji wao Mghana, Bernard Morrison kuhakikisha anakuwa sawa kwa ajili ya mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Yanga utakaopigwa Aprili 30, mwaka huu. Simba wanatarajia kuvaana na Orlando Jumapili…

Read More

TANZANIA BADO INA KAZI KUBWA YA KUFANYA AFCON

BAADA ya kupangwa kwenye hatua ya makundi ya kufuzu Afcon ikiwa kundi F, mwandishi wa masuala ya michezo Tanzania, Marco Mzumbe amesema kuwa kuna kazi kubwa ya kufanya kwa Tanzania. Ni kundi F ambalo Tanzania imepangwa ikiwa na timu za Algeria,Uganda na Niger ikiwa ni kwa ajili ya kufuzu AFCON 2023. Mzumbe amesema ukiwatazama Algeria…

Read More